GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Zunguka jijini Dar es salaam, utagundua kuwa kuna maeneo Reli inakutana
na Barabara na bado maeneo hayo hayana tahadhari yoyote kama maeneo
mengine. Hakuna mtu anayesimama na bendera kama inavyofanyika maeneo
ya Kamata pale kariakoo. Tunasubiri tu siku ikitokea tuunde tume maana
serikali yetu kila kitu ni tume, hata ukisema tume ni nyingi tunaomba
zipunguzwe wataunda tume ya kuipitia hoja yako.
Tunasubiri maombolezo ya Treni!
na Barabara na bado maeneo hayo hayana tahadhari yoyote kama maeneo
mengine. Hakuna mtu anayesimama na bendera kama inavyofanyika maeneo
ya Kamata pale kariakoo. Tunasubiri tu siku ikitokea tuunde tume maana
serikali yetu kila kitu ni tume, hata ukisema tume ni nyingi tunaomba
zipunguzwe wataunda tume ya kuipitia hoja yako.
Tunasubiri maombolezo ya Treni!