Wakuu nyie ni wageni Tanzania ?
Watu wameshikwa na ngozi (kina Yona, Mramba et al...) na hakuna kinachoeleweka..., ije kuwa hizi tuhuma ?, wako wapi kina Jairo..?, ni kina nani walileta Dowans na Richmond.., vipi issue za EPA..,
wakuu nadhani sisi wabongo ni wagumu wa kukumbuka, na wepesi wa kusahau.., hawa jamaa watapeta tu na kungoja kupewa post nyingine ya ulaji soon or later