Tunasubiri ajira baada ya kumaliza chuo. Simulia nawe unahangaika vipi mwenzangu ...tu-share maarifa

May 23, 2020
34
35
Wakuu nakuja mbele yenu,

NIMEKATA tamaa maisha haya na sina la kufanya. Zaman niliambiwa nisome sana ntakuwa na kazi nzuri na pia ntakuwa na pesa sana hivyo nilijitahidi kusoma kadri niwezavyo na nikamaliza chuo st Agustin mwaka 2016...nikiwa faculty ya education.

Hadi sasa nimejaribu kusubiri ajira za serikalini nimechoka sina la kufanya nimeomba kujitolea mshahara elf 6 ....ninatia huruma na degree yangu.
 
Awali ya yote, pole sana kwa hilo lililokupata.

Labda niseme tu kuwa hakuna guarantee kwamba mtu akisoma tena sana ndiyo atakuja kuwa na mafanikio ama 'pesa sana' na wala si kigezo cha mtu kufanikiwa zaidi kuliko yule ambaye hakusoma sana.

Inachokifanya elimu ni kumuongezea mtu ufahamu na kuzitambua fursa za kimaisha zitakazomsaidia kuzipata hizo 'pesa sana'.
 
Mkuu daa miaka MINGI, mm Ni muhitimu PIA Ila nmehitimu mwaka Jana November, nmepga Dili chache za tuition tangu nimalze, lakini bado napga, Ila smtme napga Dili za kiume zaidi, aibu pembeni. Nimesikia Magufuli katangaza Ajira na kwa walimu wa Masomo yangu Hebu nione, but napamban
Pesa ipo Ila njia ya kuipata Hyo Pesa ndio UTATA
IMG_20200605_174149.jpg
 
Wakuu nakuja mbele yenu ...NIMEKATA tamaa maisha haya na sina la kufanya ...
Zaman niliambiwa nisome sana ntakuwa na kazi nzuri na pia ntakuwa na pesa sana hivyo nilijitahidi kusoma kadri niwezavyo na nikamaliza chuo st Agustin mwaka 2016...nikiwa faculty ya education... .

Had sasa nimejaribu kusubiri ajira za serikalini nimechoka sina la kufanya nimeomba kujitolea mshahara elf 6 ....ninatia huruma na degree yangu....
Kweli education ulitegemea kuwa na kazi nzuri na pesa nyingi haukuepo serious Kwa kweli. Pesa nyingi labda ufanye biashara na siasa
 
ngoja motivational speakers waje wakushauri namna ya kujiajiri

Ila pole sana, vumilia ipo siku utapata
[/QUOTE
Daaah nimecheka kifala sana yani hao watu wanajionaga wamefanikiwa hatari afu kuna muda wanaona sisi ndo tumefeli hatutaki maisha mazuri
 
Pole sana. Hiyo ni miaka mingi sana iliyopotea bure. Ni sawa na mtu aliyekuwa amefungwa jela kwa miaka hiyo. Tatizo lenu mnalalamika lakini mnafurahia nchi inavyoendeshwa. Oktoba 2020, mtapiga kura kwa namna ileile.
Wakuu nakuja mbele yenu, NIMEKATA tamaa maisha haya na sina la kufanya.
Zaman niliambiwa nisome sana ntakuwa na kazi nzuri na pia ntakuwa na pesa sana hivyo nilijitahidi kusoma kadri niwezavyo na nikamaliza chuo st Agustin mwaka 2016...nikiwa faculty ya education.

Had sasa nimejaribu kusubiri ajira za serikalini nimechoka sina la kufanya nimeomba kujitolea mshahara elf 6 ....ninatia huruma na degree yangu.
 
Awali ya yote, pole sana kwa hilo lililokupata.

Labda niseme tu kuwa hakuna guarantee kwamba mtu akisoma tena sana ndiyo atakuja kuwa na mafanikio ama 'pesa sana' na wala si kigezo cha mtu kufanikiwa zaidi kuliko yule ambaye hakusoma sana.

Inachokifanya elimu ni kumuongezea mtu ufahamu na kuzitambua fursa za kimaisha zitakazomsaidia kuzipata hizo 'pesa sana'.
Maneno haya hayamsaidii ukimwambia leo, ulitakiwa umwambie wakati anaanza elimu yake.
 
Back
Top Bottom