mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Hv TBC 1 bado ipo? Mi ninachofahamu Tirdo Muhando kasepa nayo.
Naona imekuwa shida kunielewa, kwani isingetosha kuonyeshwa katika taarifa ya habari?
Kwa hiyo kupata airtime ya kutosha ndio kutamfanya awe anakuja mara nyingi mama?
Wananchi watanzania tumezoea kuhabarishwa kupitia hiki chombo cha UMMA hasa taarifa ya habari kila saa mbili jioni. Leo vipi mnatuonesha mafisadi na wezi wanavyo kula matunda ya uhuru wa nchi yetu.Astagaflah kwahiyo mmeona kufanya hivyo MODS NAJUA NAWEZA PEWA BAN KWA HILI NITAKALOSEMA Serikali na viongozi wake ni wapumbavu,wajinga,manyani,******* tena saanaa am ready for any thing.
Katika watu ambao unatakiwa kutumia akili sana kuwaelewa ni FAIZA FOXYFox aka wolf tuambie taifa lipi alitembelea hakawa live mpaka wakasitisha vipindi vyao.Damn usitufanye wajinga kama wewe!