Tunashukuru Mashekhe wa Uamsho kuachiwa huru. Je, Mashekhe 70+ waliotajwa na Tundu Lissu kuwa wanaozea magerezani wametoka? Kama bado watatoka lini?

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,018
Nampongeza Tundu Lissu kwa kuwatetea Mashekhe wa Uamsho, Answar Sunna, waliotupwa katika mahabusu mbalimbali.

Wanasiasa wengi walikwepa kuwazungumzia Mashekhe hao kwa kuogopa mkono wa dola, au kutengwa na jamii yenye mtizamo hasi dhidi ya viongozi hao wa kidini.

Nimesikia kwamba Mashekhe wa Uamsho wameachiwa, lakini sijasikia kama Mashekhe wa Answar Sunna nao wameachiwa.

Hebu tujikumbushe hapa chini jinsi Lissu alivyowataja Mashekhe bila uoga.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…