Nampongeza Tundu Lissu kwa kuwatetea Mashekhe wa Uamsho, Answar Sunna, waliotupwa katika mahabusu mbalimbali.
Wanasiasa wengi walikwepa kuwazungumzia Mashekhe hao kwa kuogopa mkono wa dola, au kutengwa na jamii yenye mtizamo hasi dhidi ya viongozi hao wa kidini.
Nimesikia kwamba Mashekhe wa Uamsho wameachiwa, lakini sijasikia kama Mashekhe wa Answar Sunna nao wameachiwa.
Hebu tujikumbushe hapa chini jinsi Lissu alivyowataja Mashekhe bila uoga.
Wanasiasa wengi walikwepa kuwazungumzia Mashekhe hao kwa kuogopa mkono wa dola, au kutengwa na jamii yenye mtizamo hasi dhidi ya viongozi hao wa kidini.
Nimesikia kwamba Mashekhe wa Uamsho wameachiwa, lakini sijasikia kama Mashekhe wa Answar Sunna nao wameachiwa.
Hebu tujikumbushe hapa chini jinsi Lissu alivyowataja Mashekhe bila uoga.