Hapa jamani nimechanganyikiwa kabisa
uhuru wa tanganyika 9 december 1961
uhuru wa zanzibar kutoka kwa sultani 12 january 1964
muungano wa tanganyika na znz 26 april 1964 ndio iliunda tanzania
sasa hiyo miaka 50 ya uhuru wa tanzania inatoka wapi
naomba kutoa hoja
" what i do, i know"
"what i see, i remember"
uhuru wa tanganyika 9 december 1961
uhuru wa zanzibar kutoka kwa sultani 12 january 1964
muungano wa tanganyika na znz 26 april 1964 ndio iliunda tanzania
sasa hiyo miaka 50 ya uhuru wa tanzania inatoka wapi
naomba kutoa hoja
" what i do, i know"
"what i see, i remember"