Tunasherekea miaka hamsini ya kuzaliwa kwa tanganyika na sio tanzania

muzachai

Member
Apr 30, 2009
41
16
Hapa jamani nimechanganyikiwa kabisa

uhuru wa tanganyika 9 december 1961

uhuru wa zanzibar kutoka kwa sultani 12 january 1964

muungano wa tanganyika na znz 26 april 1964 ndio iliunda tanzania

sasa hiyo miaka 50 ya uhuru wa tanzania inatoka wapi

naomba kutoa hoja

" what i do, i know"
"what i see, i remember"
 
Back
Top Bottom