hv karibuni kumekuwa mijadala juu ya kusimamishwa kazi kwa mgurugenzi wa tanesco bw. mhando na mgao wa umeme unaotarajiwa kuanza hv punde,cha ajabu nilichosikia katika mjadala huo eti generali mstaafu robert mboma ndo mwenyekiti wa bodi ya wakurugezi wa tanesco,ninavyo mfahamu huyu bwana alikuwa mkuu wa majeshi aliyestaafu muda mrefu kidogo inakuaje mtu anastaafu kazi moja anapewa nyingine? jaman mzee huyu amechoka kwanini asipumzishwe kuna watu wengi wenye uwezo na waledi wa kufanya hizo kazi wako mtaani huyu mzee amechuma sana huko jeshini na wengine wapewe nafasi.