Kizamani
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 418
- 108
Serikali au itoe ruzuku au iondoe VAT kwenye vingamuzi na vocha za digital ili mtanzania wa kipato cha chini aweze kumudu kupata habari kwa njia ya TV.
Serikali ipunguze pay as you earn kwa wafanyakazi kwani kwa sasa ni mzigo mkubwa na inawafanya wafanyakazi wazidi ishi maisha duni kila siku.
Swala la wageni kupata ajira ni kitu cha kuangalia sana kwani sasa kila kampuni utakuta wazungu, wahindi na wakenya wamejaa. Mfano. Kampuni za simu, madini nk. Hii ilikuwa kwenye ilani ya magamba kwamba wangetengeneza ajira lakini haitekelezwi.
Serikali ipunguze pay as you earn kwa wafanyakazi kwani kwa sasa ni mzigo mkubwa na inawafanya wafanyakazi wazidi ishi maisha duni kila siku.
Swala la wageni kupata ajira ni kitu cha kuangalia sana kwani sasa kila kampuni utakuta wazungu, wahindi na wakenya wamejaa. Mfano. Kampuni za simu, madini nk. Hii ilikuwa kwenye ilani ya magamba kwamba wangetengeneza ajira lakini haitekelezwi.