bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Za asubuhi wana Jf memba
Nikiwa kama msomaji na mfwatiliaji wa mada mbalimbali humu nimegundua asilimia kubwa ya watu humi tunapenda kutumia makosa ya nyuma kuendelea kufaya makosa.
Hii ni baadhi ya mifano kutoka kwenye JamiiForums.
Mada juu ya uchafu Jiji la Dodoma
Ukisoma mule kuna watu wanalinganisha uchafu wa jiji la Dodoma na majiji mengine, mtu anasema mbona hata jiji flani ni chafu, mbona watanzania wote ni wachafu this is totally wrong.
Vita ya Ukraine & Urusi
Kuna watu wanalinganisha vita hii na vita nyingine wanakwambia mbona hata Libya, Iraq, Yemen, Afghanistan n.k watu walikufa kwa hiyo kuna watu wanafurahia watu kufa kisa na huko kwingine watu walimwaga damu.
Hesabu ni janga la Kitaifa/Kimataifa
Hili unakutana nalo shule asilimia kubwa ya wanafunzi wanafeli hesabu kwa kufwata hizi kanuni, mwanafunzi anakwambia kufeli hesabu ni Ishu ya kitaifa so sioni ajabu, na unakuta hafanyi bidii zozote ya kujikwamua.
Mifano ipo mingi sana na siku tutakapoacha kuishi kwenye hizo mentality za kuhalalisha makosa kwa makosa mengine ndipo tutafanikiwa, umeona tatizo flani litafutie suluhisho na sio kujustify kwa makosa mengine.
Nikiwa kama msomaji na mfwatiliaji wa mada mbalimbali humu nimegundua asilimia kubwa ya watu humi tunapenda kutumia makosa ya nyuma kuendelea kufaya makosa.
Hii ni baadhi ya mifano kutoka kwenye JamiiForums.
Mada juu ya uchafu Jiji la Dodoma
Ukisoma mule kuna watu wanalinganisha uchafu wa jiji la Dodoma na majiji mengine, mtu anasema mbona hata jiji flani ni chafu, mbona watanzania wote ni wachafu this is totally wrong.
Vita ya Ukraine & Urusi
Kuna watu wanalinganisha vita hii na vita nyingine wanakwambia mbona hata Libya, Iraq, Yemen, Afghanistan n.k watu walikufa kwa hiyo kuna watu wanafurahia watu kufa kisa na huko kwingine watu walimwaga damu.
Hesabu ni janga la Kitaifa/Kimataifa
Hili unakutana nalo shule asilimia kubwa ya wanafunzi wanafeli hesabu kwa kufwata hizi kanuni, mwanafunzi anakwambia kufeli hesabu ni Ishu ya kitaifa so sioni ajabu, na unakuta hafanyi bidii zozote ya kujikwamua.
Mifano ipo mingi sana na siku tutakapoacha kuishi kwenye hizo mentality za kuhalalisha makosa kwa makosa mengine ndipo tutafanikiwa, umeona tatizo flani litafutie suluhisho na sio kujustify kwa makosa mengine.