Tunapata laana wenyewe, kwanini tule rambirambi? Kagera, Arusha. Huko mbele nani atawaini achangie?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,885
Familia zilizopoteza wapendwa wao kwenye ajali ya gari la shule ya Luck Vincent huko Arusha zimepatiwa kila moja kiasi cha shilingi Milioni 3.6,pesa nyingine zilizotolewa zimetumika kugharamia gharama nyingine!

Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Arusha,jumla ya shilingi milioni 190 zimetumika kwenye gharama zote !

Kimahesabu jumla ya shilingi Milioni 129,600,000 ndizo walizopewa wafiwa kama Rambirambi baada ya matumizi mengine!.

Kiasi cha shilingi milioni 60,400,000 ndizo zilizotumika kwa matumizi mengineyo nje ya pesa ya pole kwa wafiwa wote!.
@@@@@@@@@@@@@@@
Pongezi kwa wote waliofanikisha shughuli za kuwapumzisha wapendwa wetu katika nyumba zao za milele!.

By Dotto Bulembo

Swali: serikali ilichangia shilingi ngapi?
 
Familia zilizopoteza wapendwa wao kwenye ajali ya gari la shule ya Luck Vincent huko Arusha zimepatiwa kila moja kiasi cha shilingi Milioni 3.6,pesa nyingine zilizotolewa zimetumika kugharamia gharama nyingine!

Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Arusha,jumla ya shilingi milioni 190 zimetumika kwenye gharama zote !

Kimahesabu jumla ya shilingi Milioni 129,600,000 ndizo walizopewa wafiwa kama Rambirambi baada ya matumizi mengine!.

Kiasi cha shilingi milioni 60,400,000 ndizo zilizotumika kwa matumizi mengineyo nje ya pesa ya pole kwa wafiwa wote!.
@@@@@@@@@@@@@@@
Pongezi kwa wote waliofanikisha shughuli za kuwapumzisha wapendwa wetu katika nyumba zao za milele!.

By Dotto Bulembu
Dini ya kiislam hainaga mambo ya rambirambi so kumpa muumini wa dini jukumu la kukusanya rambirambi ni kumkwaza.Atajuaje taratibu za migao ya rambirambi wakati si sehemu ya maisha yake, ndomana yeye ataona iliyochangiwa ni Serikali na hivyo ina jukumu la kuamua rambirambi hiyo ifanye nini vinginevyo kama kilichochangwa ni "ubani" basi watoaji wangezipeleka direct kwa wafiwa.
 
Hivi hamjawahi hata Kufiwa mkaona Hizi Gharama zilivyo Watoto wengine wamezikwa Mbeya, Mwanza ni Kweli hatujui? Vitu Vingine si vya Kulalamika Hovyo wewe ni Kiasi gani Unaona Kimeibiwa?
 
Hivi hamjawahi hata Kufiwa mkaona Hizi Gharama zilivyo Watoto wengine wamezikwa Mbeya, Mwanza ni Kweli hatujui? Vitu Vingine si vya Kulalamika Hovyo wewe ni Kiasi gani Unaona Kimeibiwa?
Ndio zenu kujitetea CCM mnalaani isiyosameheka
 
Back
Top Bottom