ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,812
- 60,668
Natumai wote mambo yenu yanaendelea Kama kawaida poleni na kazi. Huu ni Uzi maalumu ambao lengo lake kutukutanisha vijana wenye lengo la kujaribu kujiingiza kwenye siasa za nchi yetu kupitia nafasi ya ubunge majimbo mbalimbali.
Uongozi Ni haki yetu na kwa kweli tunaweza natamani 2025 wabunge wengi watokee humuhumu Jamii Forums maana tunajua mengi Sana na tunaweza kusaidia taifa.
NB: Usitaje Jimbo Wala chama utakachogombea isipokuwa tupeane matumaini, changamoto na mbinu mbalimbali tunapoianza hii Safari.
Binafsi yangu Mimi Nina mpango wa kuingia rasmi mwaka huu nilikuwa Sina kadi ya chama ninachokitaka nitafuatilia Kisha nitaanza kujiingiza katika nafasi ndani ya chama lengo nitengeneze connection nimechoka kuona watu wanachukua kibahati bahati ilihali muda huu ni wangu.
Uongozi Ni haki yetu na kwa kweli tunaweza natamani 2025 wabunge wengi watokee humuhumu Jamii Forums maana tunajua mengi Sana na tunaweza kusaidia taifa.
NB: Usitaje Jimbo Wala chama utakachogombea isipokuwa tupeane matumaini, changamoto na mbinu mbalimbali tunapoianza hii Safari.
Binafsi yangu Mimi Nina mpango wa kuingia rasmi mwaka huu nilikuwa Sina kadi ya chama ninachokitaka nitafuatilia Kisha nitaanza kujiingiza katika nafasi ndani ya chama lengo nitengeneze connection nimechoka kuona watu wanachukua kibahati bahati ilihali muda huu ni wangu.