Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,896
- 4,495
sio rushwa hio ni kawaida kwa kila mtendaji mbona ndo hapo tunapopatiaga ela ya kiwi na vocha
Nadhani ni moja kati ya majukumu yako lakini unageuza kuwa biashara, ni sawa na mwalimu amdai mtoto hela ya kusahihisha zoezi, jaribio au mtihani wakati ni moja ya majukumu yake. Nashangaa ni kwanini wanasema mahakama ya mafisadi inakosa kesi wakati watu wa namna hii bado mpo, hebu kesho saa tatu asubuhi fika katika ofisi ya TAKUKURU iliyo karibu nawe au hata kituo cha polisi, utasaidia sana katika kuunyoosha na kurejesha heshima na maadili ya utumishi wa umma.
Nakutakia utekelezaji mwema.