sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kwanza,naomba nianze andiko langu kwa Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumleta mtu aliye itwa Mengi Tanzania,pili nishukuru kwa kumchukua kwa wakati huu.
Pili naomba niwape dondoo kidgo dhidi ya ninachoendelea kukutana nacho katika kitabu cha i can i will i must.
Kwanza,kitabu ukurasa wa Tano,kinaonesha madhara ya mfumo wa ujamaa ulivyokuwa na mchango mbaya sanaa wa ukuaji wa taifa letu kiuchumi.
Pili kitabu kinaonesha UWOGA WA MWALIMU NYERERE KWA WAWEKEZAJI WAZAWA KUWA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA,mengi anaonesha alivyompiga kbsa kwa uamuzi wake wa kuanzisha kiwanda cha vinywaji Boniite.
Aliweza kumkosoa Mengi ila alishindwa kuwakosoa wahindi.
Tatu, Mzee mengi anaonesha alivyopata mtaji wa biashara.
Niliyoyakuta,
Nyerere aliua ushirika akiofia matajiri walio zalishwa kwenye ushirika wangempora madaraka.
Nyerere, na ujamaa wake ulikuwa mzuri kutengeza viongozi with ethical ila ulikuwa mbaya kiuchumi kwa taifa hasa alipoamua kuua ushirika.
Suala zima la vijana wetu wanao maliza vyuo vikuu wanapoandika proposal na kupeleka Benk wapewe mikopo ya kuanzisha project,halikuanza leo Tanzania hata Mengi alinyimwa Mtaji na Benki ya NBC iliyokuwa ikimilikiwa na serikali pase.
Ambatana na mimi ukurasa wa Tano sasa.
Jaman kitabu cha i can i will i must,ukurasa wa Tano ndiko mzee wetu Mengi anaelezea alikopata mtaji wa kuanzisha biashara ya kununua na kuuuza peni
Je wajua kuwa NBC ilikataa kumpa mkopo pamoja na kupeleka andiko makini ili ali benki ilikuwa inamilikiwa na serikali?
Je wajua kuwa nyerere alikuwa ampendi Mengi?
Wakati nikiendelea na kukisoma kitabu cha I Can I Will I Must, nimejifunza mengi sana kauli ya mzee Mwinyi yaani Ruksa iliweza kumtoa Mengi katika mfumo wa kuajiriwa mpaka kujiajiri kwa kuanzisha viwanda vyake.
Najua watanzania wengi hatupendi kusoma basi jitaidi wewe unayesoma hapa soma ukurusa wa Tano tu.
Kama ningekuwa mwandishi wa kwenye gazeti,basi ningeandika makala nzito,kutoka ukurasa wa Tano wa kitabu hiki cha Marehemu Mzee Mengi.
Katika ukurasa wa Tano, mzee Mengi anaonesha jinsi Kauli ya mzee Mwinyi alipoingia Ikulu ya RUKSA ilivyompa imani ya kupambana na kuamua kujitoa katika kuajiriwa na kuingia katika ujasiriamali.
Mzee Mengi anaonesha kabisa kuwa mfumo wa ujamaa ulikuwa mzuri sana kwa ajili ya kutengeneza maadili ya viongozi na jamii ila kiuchumi ulikuwa ukididimiza nchi kiuchumi.
Zaidi funzo liliopo hapo,mfumo wa ujamaa ulikuwa ni mfumo wa maisha ila Mzee Mwinyi alivyoingia madarakani yeye alikuwa na neno tu RUKSA,halikuwa mfumo lilikuwa just a neno tu. Lakini lilikuwa na madhara positive sana kwa uchumi wa nchi yetu kuliko mfumo,hapo nina maana kuwa,HAPA KAZI TU NI NENO SIO MFUMO sasa lazima tujue fanya kazi inatamkwa katika mfumo gani?je ni mfumo wa ujamaa au mfumo wa ubepari?
Funzo kubwa zaid ni kuwa kauli za viongozi wetu wapo watakao nufaika nazo wapo watakao ummia
Je, kauli ya hapa kazi tu inaweza zalisha bilionea kama neno ruksa lilivyomuibua mengi?
Pili naomba niwape dondoo kidgo dhidi ya ninachoendelea kukutana nacho katika kitabu cha i can i will i must.
Kwanza,kitabu ukurasa wa Tano,kinaonesha madhara ya mfumo wa ujamaa ulivyokuwa na mchango mbaya sanaa wa ukuaji wa taifa letu kiuchumi.
Pili kitabu kinaonesha UWOGA WA MWALIMU NYERERE KWA WAWEKEZAJI WAZAWA KUWA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA,mengi anaonesha alivyompiga kbsa kwa uamuzi wake wa kuanzisha kiwanda cha vinywaji Boniite.
Aliweza kumkosoa Mengi ila alishindwa kuwakosoa wahindi.
Tatu, Mzee mengi anaonesha alivyopata mtaji wa biashara.
Niliyoyakuta,
Nyerere aliua ushirika akiofia matajiri walio zalishwa kwenye ushirika wangempora madaraka.
Nyerere, na ujamaa wake ulikuwa mzuri kutengeza viongozi with ethical ila ulikuwa mbaya kiuchumi kwa taifa hasa alipoamua kuua ushirika.
Suala zima la vijana wetu wanao maliza vyuo vikuu wanapoandika proposal na kupeleka Benk wapewe mikopo ya kuanzisha project,halikuanza leo Tanzania hata Mengi alinyimwa Mtaji na Benki ya NBC iliyokuwa ikimilikiwa na serikali pase.
Ambatana na mimi ukurasa wa Tano sasa.
Jaman kitabu cha i can i will i must,ukurasa wa Tano ndiko mzee wetu Mengi anaelezea alikopata mtaji wa kuanzisha biashara ya kununua na kuuuza peni
Je wajua kuwa NBC ilikataa kumpa mkopo pamoja na kupeleka andiko makini ili ali benki ilikuwa inamilikiwa na serikali?
Je wajua kuwa nyerere alikuwa ampendi Mengi?
Wakati nikiendelea na kukisoma kitabu cha I Can I Will I Must, nimejifunza mengi sana kauli ya mzee Mwinyi yaani Ruksa iliweza kumtoa Mengi katika mfumo wa kuajiriwa mpaka kujiajiri kwa kuanzisha viwanda vyake.
Najua watanzania wengi hatupendi kusoma basi jitaidi wewe unayesoma hapa soma ukurusa wa Tano tu.
Kama ningekuwa mwandishi wa kwenye gazeti,basi ningeandika makala nzito,kutoka ukurasa wa Tano wa kitabu hiki cha Marehemu Mzee Mengi.
Katika ukurasa wa Tano, mzee Mengi anaonesha jinsi Kauli ya mzee Mwinyi alipoingia Ikulu ya RUKSA ilivyompa imani ya kupambana na kuamua kujitoa katika kuajiriwa na kuingia katika ujasiriamali.
Mzee Mengi anaonesha kabisa kuwa mfumo wa ujamaa ulikuwa mzuri sana kwa ajili ya kutengeneza maadili ya viongozi na jamii ila kiuchumi ulikuwa ukididimiza nchi kiuchumi.
Zaidi funzo liliopo hapo,mfumo wa ujamaa ulikuwa ni mfumo wa maisha ila Mzee Mwinyi alivyoingia madarakani yeye alikuwa na neno tu RUKSA,halikuwa mfumo lilikuwa just a neno tu. Lakini lilikuwa na madhara positive sana kwa uchumi wa nchi yetu kuliko mfumo,hapo nina maana kuwa,HAPA KAZI TU NI NENO SIO MFUMO sasa lazima tujue fanya kazi inatamkwa katika mfumo gani?je ni mfumo wa ujamaa au mfumo wa ubepari?
Funzo kubwa zaid ni kuwa kauli za viongozi wetu wapo watakao nufaika nazo wapo watakao ummia
Je, kauli ya hapa kazi tu inaweza zalisha bilionea kama neno ruksa lilivyomuibua mengi?