Tunaonewa sana

Nimewahi pia kuwaza hivi
Mungu na shetani ni nguvu pinzani
Sisi pia ni chakula chao

Mungu ameumba binadamu (amepanda mazao) tunapokufa tukiwa wema roho zetu zinaungana na Mungu yani ndiyo chakula sasa anapata nguvu zaidi ndiyo maana tunaimizwa wema tumpendeze Mungu

Shetani ni muharibifu wa mazao tukifa katika maovu tunamfaidisha shetani au tunakuwa chakula chake anapata nguvu zaidi ambazo ni pinzani kwa Mungu
 
itabidi tule tunda lingine hakuna namna
 
Kuna mawazo ni fact kasoro kiingereza" najua uta shangaa Una jua kwanini?
jf wengi huamini hili wazo nikweli pindi tu mwandishi atakapo andika kakiingereza

Basi hapo ataone kama ni mtu wa maana na kaongea Cha maana
Hata akiandika pumba
usishangae nikwasababu wengi Wana amini katika elimu sio kipaji au vipaji

Najua wengi watakukashifu mkuu Ila haya ni mawazo huru nje ya mawazo ya kuaminishwa na kukalilishwa

Mpaka sasa Kuna watu Wana amini kwamba mtawala wa dunia ni mwanadamu no more., Lakini Mimi siamini katika Hilo

wakati naona watu Wana wehuka kwa majini na mapepo na Wana saidiwa nawatu wenye uwezo ulio zaidi ya uwezo wa kibinadamu
je Bado utaniambia wanadam tuna itawara dunia na viumbe vyote vilivyomo?
Tusiishi kwa kukalilishwa tujaribu kufikiri nje ya elimu tuliyo pewa
Na tusionane wajinga mtu kufikilia nje ya ukalili wetu
Kwani kufikiri hakuna mipaka
 
Yes! au ana maana je hakuna namna nyingine ya kuishi kinyume nahivi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…