Tunaomkubali DJ AFRO tukutane hapa.

Tunaomkubali DJ AFRO tukutane hapa.

Huwa naitafuta Shaolin Soccer aliyoitafsiri Dj Afro siipati.... Huyu ni kiboko cha maDJ wote
 
Aisee huyu jamaa ni noma kwenye kutafsiri muvi kutokana na mbwembwe zake na kiswahili chake cha kikenya.
Hakika hata kama muvi ni mbaya ila akiishika huyu jamaa lazima utafurahi tu.
Maneno anayopendelea;
Kugusa wororo-kusex
Bebenyaku-Nyegezi
Kimoda-mtu hatari
Kutoka unyoya-kukimbia
Kaparo-mpishi
Makagali-nyeti
Ongezea mengine.....
oo ohh rightaaa, barabara kabishaaa...
Tunaenda kuanza picha yetu na title ni horrow sinemaaa....
Afro fundi sana...
 
Jokopae; mtu anijifanya zuzu
Aisee huyu jamaa ni noma kwenye kutafsiri muvi kutokana na mbwembwe zake na kiswahili chake cha kikenya.
Hakika hata kama muvi ni mbaya ila akiishika huyu jamaa lazima utafurahi tu.
Maneno anayopendelea;
Kugusa wororo-kusex
Bebenyaku-Nyegezi
Kimoda-mtu hatari
Kutoka unyoya-kukimbia
Kaparo-mpishi
Makagali-nyeti
Ongezea mengine.....
 
Arrrrrrrrraita ndugu, mpenzi, brother mtazamaji. Maridadi, pozi tena pozi kabisa, ikiwa hapa ni ruti za mwanzo mwanzo wa sinema nanii, Endapo. Hebu tuchomoke ala hizi nikupeleke mpaka kule upande wa BanKok Thailand na nyakati zikiwa ni za usiku usiku nanii. Title la all sinema likiwa ni WU DANG yani maana yake nii DANGAMANYA.

Siku nenda, siku Rudi. Ikawa mchana ikawa asubuhi.. .... .. ..! Unasemanga waya ya umeme unakosea, hii sasa ni transfoma ya umeme.. ..! Huyu ni master juu ya mamaster mbele ya mamaster sasaa.

Cheki YouTube movie za KING OF BEGGERS, WU DANG, KONGFU BOYS, FALCON RISING, THE BODYGUARD(sio ile ya JetLi), usikie makeke ya AFRO.
 
Alllllllraiiiiiiitaaaaa ashante, ashante shana ikiwa ni katika ruti za mwanzo mwanzo za shinema tuko na mtaaramu jackichena
 
Aah..huyuuu..huyuu ni waya wa umeme bradhaaaa..cheekuu maneno..chek hyo vdeo hapa chin hahahaaaa
 
Write your reply... Na ni katika kipndi cha lalasalamaa..

Hapo ndo muvi inapo noga sasa
 
Arrrrrrrrraita ndugu, mpenzi, brother mtazamaji. Maridadi, pozi tena pozi kabisa, ikiwa hapa ni ruti za mwanzo mwanzo wa sinema nanii, Endapo. Hebu tuchomoke ala hizi nikupeleke mpaka kule upande wa BanKok Thailand na nyakati zikiwa ni za usiku usiku nanii. Title la all sinema likiwa ni WU DANG yani maana yake nii DANGAMANYA.

Siku nenda, siku Rudi. Ikawa mchana ikawa asubuhi.. .... .. ..! Unasemanga waya ya umeme unakosea, hii sasa ni transfoma ya umeme.. ..! Huyu ni master juu ya mamaster mbele ya mamaster sasaa.

Cheki YouTube movie za KING OF BEGGERS, WU DANG, KONGFU BOYS, FALCON RISING, THE BODYGUARD(sio ile ya JetLi), usikie makeke ya AFRO.
tatizo move zake YouTube hazifikagi mwisho
 
lakiiiiiiniiiii right on time alikwingilia wanamuitaga Dan terejo.

Pigwa mbaya mbovu.

Hapana chezea wan feno eno anakuwagaaaa ni waya ya stimaaa.

Ulipiga bibi yangu ukapiga na katoii na bado ukagoza ulolo manzi yanguu sasaaa leo utapendaaa.

Ku****a ***** unaleta ujinga mbele ya mafwande unafikiri serikali ni ya baba yako.

siku nenda siku rudi hatimaye walikutana katika area hizi.


Umekuwa ukifanyia kazi mdozi wa majingiri na bado ukaua wana polisi na ukaona haitoshi ukamguza ulolo manziii yangu na naaa sasa nimechomoka upande wa BANGKOK nimekwingilia katika maskani lako leo utapendaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom