Tunaomkubali DJ AFRO tukutane hapa.

Tunaomkubali DJ AFRO tukutane hapa.

Mimi nikiwa kama kaparo nitakuguza ulolo kwa saidong mpaka ipate moto eee gafla anakwingila masenari hatari aka kimoda.


Pozi kabisa ikiwa ni ruti za maantoradaksheni
 
eeh Kopro mi natoroka hii kijana ni waya waya waya wa umeme.
 
Jamaa huwa anajua kutumia lugha ya kuvutia watazamaji.Zamani nilikuwa sipendi muvi wanazo tafsiri "Wabongo" kwa sababu lugha ya kiingereza hawaiwezi.Uongo mwingi lakni "Kaparo Afro" amenivutia.Hapo shashaaaaa!
 
Na nyakati ni, za usiku usiku... Top ranking Dj, Top ranking Afro amigossss
 
Jamaa huwa anajua kutumia lugha ya kuvutia watazamaji.Zamani nilikuwa sipendi muvi wanazo tafsiri "Wabongo" kwa sababu lugha ya kiingereza hawaiwezi.Uongo mwingi lakni "Kaparo Afro" amenivutia.Hapo shashaaaaa!
dah yaani ukiangalia muvi za huyu jamaa halafu ukaangalia walizotafsiri wabongo unaona ZERO tu.
 
dah yaani ukiangalia muvi za huyu jamaa halafu ukaangalia walizotafsiri wabongo unaona ZERO tu.
Wabongo chenga sana.Mimi nimemaliza hela kusoma tuisheni ya kizungu halafu wanidanganye?Aaaaaa wapi!Waendezao huko porini wakawadanganye vimbwenerehi wenzao.😂😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom