Tunaomiliki magari ya mzungu tukutane hapa

Halafu wewe unaweza kuwa kale kademu kangu ka primary school enzi hizo


Aahahahahaaahahahaa baba Taibali unanionea.

Primary nilikuwa bado mbichi sijaiva, Ila kuna mtoto alikuwa anaitwa Brenda..... Huyo alianza tangu darasa la tano na wote tulijua.

Ombi binafsi, siku temperature ikisoma below 30 uwe unatuwekea pia, umetuwekea za above 30 kadhaa.

Halafu kuna mahali nilipita nikakuta mabungo yananuzwa Ila sikununua, nasubiri utayoniletea. Najua nikinunua hayatakiwa matamu kama utamu nnaotaka kuupata.

Waiting for Mabungo.
 
Aahahahahaaahahahaa baba Taibali unanionea....

Primary nilikuwa bado mbichi sijaiva, Ila kuna mtoto alikuwa anaitwa Brenda..... Huyo alianza tangu darasa la tano na wote tulijua...
Brenda alikwa Seven A ? Walikuwa wanakaa mikocheni?
 
Brenda alikwa Seven A ? Walikuwa wanakaa mikocheni?

Nash sio huyo banaa, wee niliwazungumzia wale mapacha wavulana wawili wanene nywele zao kama zimenyonyoka ukasema nearly tu disclose the data.

Ila huyu Brenda alikuwa wa magorofa ya hospitali au umemfananisha na Happiness S. Huyu ndo alikuwa anakaa mikocheni mzuri wa sura sana na vidimpos.

Hivi unajua mie ndo nilikiwa mwalimu wa kiswahili, Sophia.

Nilikuchapa viboko wewe na wenzako mmoja nick name yake ilikuwa TDS Kin.
 
Nash sio huyo banaa, wee niliwazungumzia wale mapacha wavulana wawili wanene nywele zao kama zimenyonyoka ukasema nearly tu disclose the data...

Ila huyu Brenda alikuwa wa magorofa ya hospitali..
Aisee unaowataja wengine Wana wajukuu SAA hizi
 
Aisee unaowataja wengine Wana wajukuu SAA hizi


See how konki I am....

Hao wote nimewafundisha sasa aahahahahhahaaa..

Usisahau mabungo.... Halafu yule Babu aliyekuwa anauza mabungo alikuwa na mkono mnene like umelemaa kwenye kiganja umevimba hivo siku zote...

Chips za shilingi 20 halafu hata hazijaiva vizuri, ubuyu wa pilipili kule hospitali aahahahahaa

Siku Ndosi, Gabone na Wille wakichachamaa ni mwendo wa kuokota punje za ubuyu shule nzima aahahaha

Headmaster akija utamsikia....shika kiatu, shika kiatu...

Nasma Mwin.... hakumalizia pale aliishia namba 5 .......siku hazigandi aiseeh ni kitamboooo

Na wa Mwandosya pia aliishia namba 4 au 5.
 
See how konki I am....

Hao wote nimewafundisha sasa aahahahahhahaaa..

Usisahau mabungo.... Halafu yule Babu aliyekuwa anauza mabungo alikuwa na mkono mnene like umelemaa kwenye kiganja umevimba hivo siku zote...

Chips za shilingi 20 halafu hata hazijaiva vizuri, ubuyu wa pilipili kule hospitali aahahahahaa

Siku Ndosi, Gabone na Wille wakichachamaa ni mwendo wa kuokota punje za ubuyu shule nzima aahahaha

Headmaster akija utamsikia....shika kiatu, shika kiatu...

Nasma Mwin.... hakumalizia pale aliishia namba 5 .......siku nazi gandi aiseeh ni kitamboooo

Na wa Mwandosya pia aliishia namba 4 au 5.
Leo baridi 24.5c
IMG_20200204_080327.jpg
 

Yaani Baba Batalingaya ujue asubuhi nilihisi labda naumwa nikazima kiyoyozi kwenye gari sababu niko mwenyewe. Na hapo nafanya maamuzi ya kukizima nilikuwa nimeweka mshale katikati ya mwanzo wa heater na cooler. Nikaona isiwe tabu nikazima kabisa kiyoyozi, nilikuwa nasikia baridi inapenya hadi kwenye mifupa..... au labda kulala mwenyewe kunachangia kuisikia baridi sana...

Asante kwa kunijibu takwa langu, bado bungo tuu sijui lini muujiza utatendeka... naendelea kusubiri tuu.

Halafu jina la Baba Batalingaya limekukaa utamuu eeehehehheheeee

Kasie Matata.
 
Kwenye selfies mmeweka picha zenu
Ila kwenye magari naona mnaandika tu
Sasa simpige hata matajiri tu kama waliopiga miguu yao?


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Okay let's find out,

Compare afu contrast hizi gari kitaaalam zaidi....afu toa recommendations. Ukitaka hadidu rejea usisite kuuliza;

2013 Benz E Class W212 E200/250 (facelifted) v. 2013 BMW 5 series 520i v. 2013 Audi A6 2.0T

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka wa 5 sasa bado una compare na ku-contrast tu hayo magari mzee baba.

Nunua hata ka vitz ka kuzugia mkuu.

dodge
 
Japo mi si mjuzi sana wa magari Ila hapo mkuu mbona naona kuna utafauti mdogo sana kwenye cc maana hiyo ya 2.5i ina cc2490 na hii ya 3.0i ina cc 29450 mi naona kama utofauti ni mdogo sana au wewe unasemaje kuhusu hilo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwenye gari tofauti ya cc500 ni kubwa sana. Unafikiri Toyota IST ya cc1490 haina tofauti na GX100 ya cc2000?!
 
Back
Top Bottom