Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,236
- 36,268
Halafu wewe unaweza kuwa kale kademu kangu ka primary school enzi hizo
Aahahahahaaahahahaa baba Taibali unanionea.
Primary nilikuwa bado mbichi sijaiva, Ila kuna mtoto alikuwa anaitwa Brenda..... Huyo alianza tangu darasa la tano na wote tulijua.
Ombi binafsi, siku temperature ikisoma below 30 uwe unatuwekea pia, umetuwekea za above 30 kadhaa.
Halafu kuna mahali nilipita nikakuta mabungo yananuzwa Ila sikununua, nasubiri utayoniletea. Najua nikinunua hayatakiwa matamu kama utamu nnaotaka kuupata.
Waiting for Mabungo.