Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,257
Sana jamvi wote tupo makini kujua nini kinaendelea kutoka pale SAUT Mwanza kujua nini Nape anazungumza na wanafunzi pia witikio Wa hao wanafunzi,Kama hawajajitokeza wengi ni bora Nape arudishe gharama za kununulia hao mbuzi na ngombe kwani ni fedha za ruzuku ya chama chetu