Niaje wakuu, mimi ni mkazi wa Kigoma Mjini, kuna hii barabara mpya ya lami ambayo inapita katika mtaa wa Saigoni Kigoma mjini, naomba mamlaka husika zifanyie kazi suala la kuweka matuta katika hii barabara mpya kwa sababu magari na pikipiki zinashuka kwa kasi sana.
Tuna watoto zetu na wake zetu wanavuka wanaenda sokoni na shuleni, tunaomba wahusika waliangalie hili.
Tuna watoto zetu na wake zetu wanavuka wanaenda sokoni na shuleni, tunaomba wahusika waliangalie hili.