Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Tafadhali kwa wale tunaodaiwa na tala tuwalipe haraka iwezekanavyo lasivyo itatugarimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha nini?Tafadhali kwa wale tunaodaiwa na tala tuwalipe haraka iwezekanavyo lasivyo itatugarumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetumwa?Tafadhali kwa wale tunaodaiwa na tala tuwalipe haraka iwezekanavyo lasivyo itatugarumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali kwa wale tunaodaiwa na tala tuwalipe haraka iwezekanavyo lasivyo itatugarumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Tala ni wapuuzi sana.....yaani nimekomea kwenye 260,000 tu. Kila nikikopa tena napata hiyo hiyo ila kila ninaporejesha interest inapanda... Sasa hivi natakiwa kulipa 315000 na huku nimekopeshwa 260,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi bando za jero mnazowekewa kule LUMUMBA kuja kutukera JF, ni mtihani.
Wewe badala ya kujiunga BANDO kila siku si ugekusanya hizo hela ukawalipa hao TALA.
Hawa Tala ni wapuuzi sana.....yaani nimekomea kwenye 260,000 tu. Kila nikikopa tena napata hiyo hiyo ila kila ninaporejesha interest inapanda... Sasa hivi natakiwa kulipa 315000 na huku nimekopeshwa 260,000
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂warudi kwao kiambu...
Wanakupiga na wewe saiv hatuwalipi HADI WAFILISIKE
Wewe Ndo wakala mkusanyaji sio unatukonvise tulipeTafadhali kwa wale tunaodaiwa na tala tuwalipe haraka iwezekanavyo lasivyo itatugarimu
Sent using Jamii Forums mobile app