Tunaodaiwa na tala tuwalipe haraka iwezekanavyo

Naona mmehamia JF kuja kukusanya KODI zenu. Hizi bando za jero mnazowekewa kule LUMUMBA kuja kutukera/kututisha/kukusanya kodi humu JF, ni mtihani kweli.

Wewe badala ya kujiunga BANDO kila siku si ugekusanya hizo hela ukawalipa hao TALA.
 
sisi ndio waswahili, bongo mjini daslam lazima wafunge na wasitishe huduma kwa hasara!

tukope kwa sana bila kulipa hapo ndio akili zitawajia kwani hawana kwa kutupeleka
 
Back
Top Bottom