BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,720
- 6,527
Hii nchi maisha yetu yanawekwa hatarini ili kuwafurahisha Watalii, kwamba watalii ni muhimu sana kuliko Watanzania, kwamba bora tufe ila wazungu waje.
Haiwezekani Majirani zetu wote kwa sasa wawe na wagonjwa ila sisi hatuna, tuache kuwafurahisha Watalii, yaani data zina shushwa ili kufurahisha watalii.
Hii ni hatari sana
Haiwezekani Majirani zetu wote kwa sasa wawe na wagonjwa ila sisi hatuna, tuache kuwafurahisha Watalii, yaani data zina shushwa ili kufurahisha watalii.
Hii ni hatari sana