Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 407
- 178
Kwasasa hapa nchini pamekuwa na utaratibu mtu akipata matatizo tunakimbilia kuchangishana fedha.
Mtu kama Joseph Haule a.k.a Prof J alipopata maradhi na kulazwa, familia yake ikaomba achangiwe kusaidia gharama za matibabu, bila shaka familia hawana uwezo wa gharamia matababu kutokana na maradhi yanayomkabili.
Sasa mtu kama Prof J anachangiwa, je kuna Watanzania wangapi ambao hupoteza maisha kwa kushindwa kugharamia matatibabu na hawana nafasi ya kuchangiwa.
Tupiganie Bima afya kwa wote yenye uwezo wa kugharamia magonjwa yote kama ilivyo kwa watumishi, hii ya kuchangiana iwe kama ziada na isiwe ndio mkombozi.
Mkombozi iwe BIMA YA AFYA na tuchangiane kama dhararu tu.
Mtu kama Joseph Haule a.k.a Prof J alipopata maradhi na kulazwa, familia yake ikaomba achangiwe kusaidia gharama za matibabu, bila shaka familia hawana uwezo wa gharamia matababu kutokana na maradhi yanayomkabili.
Sasa mtu kama Prof J anachangiwa, je kuna Watanzania wangapi ambao hupoteza maisha kwa kushindwa kugharamia matatibabu na hawana nafasi ya kuchangiwa.
Tupiganie Bima afya kwa wote yenye uwezo wa kugharamia magonjwa yote kama ilivyo kwa watumishi, hii ya kuchangiana iwe kama ziada na isiwe ndio mkombozi.
Mkombozi iwe BIMA YA AFYA na tuchangiane kama dhararu tu.