Umesema vizuri lakini hujalaani hii ya awamu ya tano. Hii iko wazi waziHapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.
Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.
Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.
Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.
Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!
Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.
Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.
Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.
Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.
Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!
Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Mkuu huo uwanja haukutengewa bajeti na Bunge. Kilichotengwa ni bilioni 2 tu kwa ajili ya feasibility study. Nduli akachota hazina zaidi ya bilioni 50 bila idhini ya Bunge kuhakikisha uwanja unajengwa na pia kupeleka wanyama huko ili kuvutia watalii hotel yake ipate wateja. Unadhani huyo nduli asingekuwepo Ikulu uwanja huo ungejengwa? Kwa kipaumbele gani kwa Watanzania Mkuu!?
Iyo njombe iliyojaza akina manka labda itakuwa njombe ya loliondo.
Kwahiyo tusilaana kisa huko nyuma yalitokea.? Hivi tunaishi leo au tunaishi wakati uliyopita.? Kama yalitokea huko nyumba ayahalalishi kutokea na kushangiliwa leo.Sio ujinga bali ni ukweli mtupu, ujinga ni kuyafumbia macho na kutoyakosoa.
Sio ujinga bali ni ukweli mtupu, ujinga ni kuyafumbia macho na kutoyakosoa.
Waasisi wa ukabila na upendeleo ni wachaga,hata mtoto mdogo ajua hivo,awamu hii wamekosa hiyo nafasi ndo maana wanaongoza kulalamika,hata baba wa taifa aliwasema,
Ujinga mtupu
Ipe akili yako utulivu, utaona huo ujinga uliouandika
Hivi unafikiri wamisionari walikuwa wajinga? Waliona hao wachaga wana hari ya mafanikio na wanabebeka! Sehemu nyingine watu wanawaza ngono tu na ujuaji mwingi kama huyo muhutu.
Mtoa mada hizi takwimu zinakuumuza sana na hata uko palipoendelea kama dar, njombe etc ukihesabu utakuta kina Manka na Mangii. Lia tuu ila papendeni kwenu
Kusoma kwa miaka ile, usiwape pongezi wazee wa kichaga, toa pongezi kwa wamisionari, hata Ukerewe ni hilo!
Alichukua pesa iliyotengwa Kwa ajili ya kajunguti airport akaipeleka chatoMkuu huo uwanja haukutengewa bajeti na Bunge. Kilichotengwa ni bilioni 2 tu kwa ajili ya feasibility study. Nduli akachota hazina zaidi ya bilioni 50 bila idhini ya Bunge kuhakikisha uwanja unajengwa na pia kupeleka wanyama huko ili kuvutia watalii hotel yake ipate wateja. Unadhani huyo nduli asingekuwepo Ikulu uwanja huo ungejengwa? Kwa kipaumbele gani kwa Watanzania Mkuu!?
Mwanzilishi wa thrd!! Kwa kweli umewapata watu hawa. Kwa majibu kama haya ndo utaona jinsi gani wote hawa hawana uhalali wa kukemea upendeleo. Yaani wote hawako tayari kusema upendeleo walioupata ktk makabila yao ulikuwa mbaya. Naona hata takwimu zisizohusiana na majadiliano, zinaletwa!
Jamani! Tukubali nchi hii ina watu wabaguzi nawapendeleaji tangu tupate Uhuru.Hakuanza Magufuli kama tunavyoonesha. Kama tunaona imetosha, tuseme wote kwamba tulikosea na tuache. Ukianza kujidai eti tuko hivi kwa kuwa tumesoma, sijui tunaakili ya kazi kuliko wengine, hiyo inanonesha bado tunayo hamu ya kupendelewa. Mbona hatutaki kukubali kwamba tulisoma na tuna tabia ya kupendeleana?
Hapa umeandika kwa hisia. Jaribu kwenda na facts kwenye nyuzi kama hizi.Hivi unafikiri wamisionari walikuwa wajinga? Waliona hao wachaga wana hari ya mafanikio na wanabebeka! Sehemu nyingine watu wanawaza ngono tu na ujuaji mwingi kama huyo muhutu.
Hii ya Chato ni mbaya! Lakini kwa nini hatuko tayari kulaani yote yaliyotokea na yanayotokea nchi hii?
Ukiamua kutetetea tuuuu hapo ndo tunasema wengi tunafurahia upendeleo unaotufikia kwa neema. Tunalazimisha kutumia hata takwimu zisizokuwepo na hasa hilo la elimu. Hapa TZ Wilaya pekee inayoweza kujivunia wasomi wa kiwango cha juu kabisa kuliko wilaya yoyote nyengine ni Ukerewe. Nasema tena Ukerewe na hiyo inafahamika. Kwa nini hawakujaa juu kote? sema jingine tu!
Kusoma kwa miaka ile, usiwape pongezi wazee wa kichaga, toa pongezi kwa wamisionari, hata Ukerewe ni hilo!
Hebu soma copy-paste hii ya mwanachama aliyewahi kuyasema haya siku za nyuma. Nimeifukuwa nikaiona, bahati mbaya ithrd imefungwa.Kuhusu Elinewinga (RIP mdau) umekosea. Hujatafiti kutosheleza. Cha msingi ni kwamba WATU HUJITAFUTIA MAENDELEO WENYEWE na hawapelekewi. Mifumo thabit ikiwepo husaidia EFFORTS za kujiletea maendeleo. Wapo Watanzania kama WAFUGAJI wanaozurura na nchi nzima na watoto wao wasioenda shule kulisha MIFUGO yao ambao hata ufanyeje PORI ni sehemu ya ubongo wao. Wapo wengine ambao ni WAVIVU mno licha ya kuishi kwenye maeneo yenye rutba na maji. Maisha yao ya kileo na yale ya mababu zao wa kale hayana tofauti. Priorities zao sio za kimaendeleo kama baadhi ya jamii zingine za Tanzania.
Kwa mtazamo wako mwandishi nakushauri UKAE MBALI NA UJINGA.
Wahaya wangekuwa wanapendelea kwao kama ulivyoainisha basi Bukoba ingekuwa Dubai ndogo.