Tunalaani uwanja Chato, nchi hii upendeleo ulianza zamani Wachaga mkiongoza

Sahihisha na hii:
When someone is low, when they have no credibility, no honesty, no elevation of their private self, they seek to lower all others with their creation of a false reality in which they aren’t failing — everyone else is. In fact, the most common survival method of insecure narcissism is to flip undesirable traits in themselves onto those that created those feelings, then attach some other magnanimous and likely untrue quality to themselves.

Any location within URT is Tanzania. Hayo ya Uchaggani na Chato yatabaki kuwa parochial perception surported by other equally pathetic souls. Get this, TRIBALISM has no locus in here, be Chato or elsewhere. T
Umeona mi ni mwalimu wa bei nafuu! Haya ni maneo ya kiingereza with no congruence with our discussion.
Kazana jisomee, hangaika na internet. JF siyo ubishi tu, kuna watu wamenufaika na JF. Lakini, usitake kujifunza kwa ubishi. Comprenez-vous?
 
Subili msumari wa moto uingie. Vumilia tu
Nataka nikuambie tu hata kwenye hiyo miradi siajabu kukuta wachaga ndiyo watakao nufaika, kama kawaida yao watajisogeza kuwekeza huko! Nafaida itakayo patikana itapelekwa moshi kama kawaida.🤣🤣
 
Umeona mi ni mwalimu wa bei nafuu! Haya ni maneo ya kiingereza with no congruence with our discussion.
Kazana jisomee, hangaika na internet. JF siyo ubishi tu, kuna watu wamenufaika na JF. Lakini, usitake kujifunza kwa ubishi. Comprenez-vous?

I am not for turning! U google that
 
Magufuli Yuko sahihi, kwa mjadala wa humu Yuko sahihi, nyie wakaskas Punguzen wivu
 
Baada ya majadiliano haya ndo nimeiona sura halisi ya Ndugu hawa kujivunia yaliyotendeka kwao bial kujali wengine walionyimwa. Leo hii wanalaani wengine wakidhani wanatenda hayo kama wao walivyotenda.
 
Mmmh! Nionavyo kwa reactions kama hizi, itakuwa vigumu CHADEMA kupenya nchini. Kuna hatred na kwa ujumla, bahati mbaya, Wachaga wanashindwa kuficha ukabila.
 
Wale munaopiga vita ukabila kwa sasa mukiamini itawapa kura za kutosha. BAdo wachaga munatajwa kila siku kwa kila aina ya ukabila.
 
Kumbe
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Ufinyu wa akili Ndiyo shida kubwa hapa
 
Hii ya Chato ni mbaya! Lakini kwa nini hatuko tayari kulaani yote yaliyotokea na yanayotokea nchi hii?

Ukiamua kutetetea tuuuu hapo ndo tunasema wengi tunafurahia upendeleo unaotufikia kwa neema. Tunalazimisha kutumia hata takwimu zisizokuwepo na hasa hilo la elimu. Hapa TZ Wilaya pekee inayoweza kujivunia wasomi wa kiwango cha juu kabisa kuliko wilaya yoyote nyengine ni Ukerewe. Nasema tena Ukerewe na hiyo inafahamika. Kwa nini hawakujaa juu kote? sema jingine tu!

Kusoma kwa miaka ile, usiwape pongezi wazee wa kichaga, toa pongezi kwa wamisionari, hata Ukerewe ni hilo!
Natafakari sana juu ya hili! Hivi kweli Wachaga wamesoma sana? Hii elimu ya form 4? Nikiangalia idadi ya wasukuma wote waliosoma hadi digrii, mbona ni zaidi ya wachaga wote hadi wale ambao hawajui kusoma na kuandika? NI ubaguzi tu! Ukipenda ujinga kila leo utasifia.
 
Back
Top Bottom