Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan afanyiwa Dua na Watoto Yatima aliposhiriki Kongamano la Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu lililoandaliwa na Umoja wa Maimamu Tanzania (UMATA), Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam leo August 24,2025.
#tunamjua #ssh #taifa #ccm
#tunamjua #ssh #taifa #ccm