Tunakusogeza: jirani na tabasam

bartaizo

JF-Expert Member
Jun 19, 2013
236
86
*Leo ni siku njema sana kwangu nimeenda kupima ukimwi kitu ambacho wengi wenu mnaogopa nimerudi na furaha tele baada ya kukuta hospitali imefungwa.!*

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Back
Top Bottom