Mahaba niuwe ndio haya sasaKabisa kiongozi si unaona jamaa alivyotulia...!
Kudadeq hapa najua haruhusiwi hata kuwika😀😆😀
Hapo anamaanisha jogoo ame differentiate constant na mwisho wa siku amepata 0 mkuu.ivi ni mimi tu sijaelewa...?
Hii limbwata ni first class aiseee, hadi watoto wanashangaa 😂😂😂😂😂😂
Baba kulea watoto wake ni Limbwata,
Walai mfumo dume umewaathiri sana jamii za kiafrica,
Poleni.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.