RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Mimi ni Askali nilioiva huwa sitikisiki hata kwa upepo wa aina gani, Waliojaribu kunitingisa walitingisika wenyewe... baada ya saa 10 j3 hakuna Mfanyabiashara yeyote wa korosho atakayeruhusiwa hata kununua Kg 50, korosho zote tutazinunua kwa zaidi ya Tsh 3,000, uwezo tunao wanajeshi wa kusomba wapo JPM