Siku hizi ndoa nyingi zinavunjika na nyingine migogoro haiishi, lakini siku tunapata muda wa kuwachunguza wenzi wetu kabla ya kuoana, je, tunakosea wapi, mbona zamani watu walioana hata hawajuani lakini ndoa zilidumu. Siku mtu anakaa uchumba miaka 5 lakini wakishaoana ndoa inavunjika tatizo ni nini?