Tunakopesha wanalipa vizuri?

Tunakopesha wanalipa vizuri?

Mlalahoi Mlalahai

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
399
Reaction score
148
Habari wadau, naomba kujua kuhusu Tunakopesha wameniita lakini niko mbali na kuna kazi nyingine nafanya, ningependa kujua kuhusu Tunakopesha ltd, wanavyolipa na mazingira ya kazi, ili kama wako vizuri niende kama sio niendelee na kazi niliyonayo. Tafadhali
 
Acha tamaa shika ulichonacho... Fanya kazi kwa bidii hayo masirahi mazur kaka utayapata huko huko....utapandiswa cheo......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom