Tunakopesha pesa dhamana gari na kadi yake

Tunakopesha pesa dhamana gari na kadi yake

Siku ya kuja kukunyang'anya tia engine chumvi,mgawane hasara ya hio laki Mbili iliyobaki,nilengeshe nikakope coaster.Nimfungie spare za kichina na kutia engine chumvi,au nikalikopee,akiniset tunasetiana inakula kwake.Yaani uchukuliwe pesa kibwege bwege nawe ukubali.
Dawa ni kutokopa tuu.
 
Mtu aise na kitu huwa nimwepes kutoa kauli chafu kwa mtu ambae sio level zake hii ni kawaida ya watanzania waliokosa kitu tushawazoea hamtupi shida mm ni kijana mdogo tu sijafikisha hata miaka 35 lakin nimefanya makubwa mno ktk dili zangu sina shaka na mkono wa serikali wewe endelea kuvizia vyakula kwenu.
Sawa mkuuu endeleaa kuwakopesha na kuwaconvince wakopeshekeeee
 
NDUGU ZANGU KWA HALI YA UCHUMI ILIVYO MBAYA USIKIMBILIE KUKOPA KWA KUWEKA BONDI GARI
UTAPOTEZA GARI YAKO NA KIRAHISI SANA
RIBA YA 30% NI HATARI SAAAAANA
USILOGWE UKAJARIBU
 
Siku ya kuja kukunyang'anya tia engine chumvi,mgawane hasara ya hio laki Mbili iliyobaki,nilengeshe nikakope coaster.Nimfungie spare za kichina na kutia engine chumvi,au nikalikopee,akiniset tunasetiana inakula kwake.Yaani uchukuliwe pesa kibwege bwege nawe ukubali.
Kadi ya gari anabaki nayo,halafu unakuwa umesetiwa unakuwa hujitambui akili zitakukaa pahala pake baada ya kuwa ameshakuchukulia gari
 
Kadi ya gari anabaki nayo,halafu unakuwa umesetiwa unakuwa hujitambui akili zitakukaa pahala pake baada ya kuwa ameshakuchukulia gari
Nielekeze nikakope coaster,uchawi haumnasi asieuamini.
 
Sawa mkuuu endeleaa kuwakopesha na kuwaconvince wakopeshekeeee
Mikopo mizuri na yenye heshima isiyo na ndumba ni bank peke yake humu mitaani wengine wana ndumba ukikopa hata laki 2 hata kama ulikuwa na income ya 5mil per month hutafanikiwa kumlipa huyo mtu nia yake akukombe ulichowekeza dhamana ndo waganga wao wanawaelekeza siku hizi wakopeshe kwa riba ndogo ila mkopaji atashindwa kurejesha na mwishowe kufilisiwa
 
Mikopo mizuri na yenye heshima isiyo na ndumba ni bank peke yake humu mitaani wengine wana ndumba ukikopa hata laki 2 hata kama ulikuwa na income ya 5mil per month hutafanikiwa kumlipa huyo mtu nia yake akukombe ulichowekeza dhamana ndo waganga wao wanawaelekeza siku hizi wakopeshe kwa riba ndogo ila mkopaji atashindwa kurejesha na mwishowe kufilisiwa
Imani potofu hizo nani akuroge?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom