GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Habarini zenu wanajamvi,
Nimekuwa nikifuatilia Post kadhaa bila kuchangia huku nikijiuliza maswali mengi sana,
Watanzania wengi si wakristo si waislamu wameonekana kutamani mno vita yaani mno.
Si wa humu mitandaoni tu bali hata wale wengine ambao nimewafanyia utafiti nje ya
Mitandao.
Sababu zinazopelekea Watanzania kutamani vita ni hizi.
1.Dini
2.Siasa
3.Uchumi mbaya
4.Dhulma.
Sio dhamira yangu kufafanua hayo manne hapo juu, ninachokusudia ni kuwauliza,
kwa sababu nimeshawahi kuishi katika nchi zenye machafuko japo kwa muda mfupi,
Hiyo vita mnayoisikia..... hiyo vita mnayoitamani....... Ikija ndo mtaona tofauti ya
kutazama kwenye TV na pale inapokuwa barazani kwako. Endeleeni kutamani huku
mukikunja ngumi na kuuma meno kwa hasira lakini....................
Tunakijua Tunachokitamani?
Nimekuwa nikifuatilia Post kadhaa bila kuchangia huku nikijiuliza maswali mengi sana,
Watanzania wengi si wakristo si waislamu wameonekana kutamani mno vita yaani mno.
Si wa humu mitandaoni tu bali hata wale wengine ambao nimewafanyia utafiti nje ya
Mitandao.
Sababu zinazopelekea Watanzania kutamani vita ni hizi.
1.Dini
2.Siasa
3.Uchumi mbaya
4.Dhulma.
Sio dhamira yangu kufafanua hayo manne hapo juu, ninachokusudia ni kuwauliza,
kwa sababu nimeshawahi kuishi katika nchi zenye machafuko japo kwa muda mfupi,
Hiyo vita mnayoisikia..... hiyo vita mnayoitamani....... Ikija ndo mtaona tofauti ya
kutazama kwenye TV na pale inapokuwa barazani kwako. Endeleeni kutamani huku
mukikunja ngumi na kuuma meno kwa hasira lakini....................
Tunakijua Tunachokitamani?