Tunaidadi kubwa ya madereva wa hovyo.

Tunaidadi kubwa ya madereva wa hovyo.

Milazetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2025
Posts
300
Reaction score
270
Ukiwa kwenye chombo cha usafiri hasa haic za mijini na bajaji kwenye matuta wanakuwa wavivu kupunguza mwendo na kupanguwa gia.wanapita kama wamebeba roba za mahindi huo si udereva muone aibu tena mkiitwa madereva kataeni hili jina haliwafai.
 
Back
Top Bottom