Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Baada ya kusoma post nyingi na kufuatilia kasumba la Umeme Tanzania, Hitimisho limekuwa simple: CCM IMETUPIGA CHANGA LA MACHO. Lakini cha kufurahisha zaidi ni kwamba hii haikuwa mara ya kwanza. Ni bao lililopo kwenye ligi moja na la EPA na Richmond. Ninachojiuliza kwa sasa bao la 2015 litakuwa nini?
Kwanza walianza kwa kutuzungusha-zungusha na vikao vya Halmashauri Kuu ya Chama iliyomswali Spika, mara sijui TRL na hao wahindi. Lakini kumbe zote hizi zilikuwa njama za kutuvuruga akili, kwa kusudi tusishtukie bao lililofuata! Bao lenyewe ni IPTL kulipwa Tsh23 Billion a month. Ivi watu wangapi wanajua hao IPTL ni nani? Ivi hii pesa tunaijua au ni kuitamka tu? Wabunge wetu wamelala au vipi? Nadhani wananchi wangependa kuona na kusikia kelele zaidi kutoka bungeni, pamoja na mahesabu ya hayo malipo tulipayo kila kukicha.
Jamani bei ya Magenerator mapya ya umeme ni kiasi gani? Bei ya kuyasafirisha mpaka hapa ni kiasi gani? Mbona tumefanywa kama Makondoo yasiyojua kitu? Mbona nchi yetu inageuzwa kuwa Pango la Wanyang'anyi?
Mpambano wa kuiondoa CCM ni sawa na ule uliomuondoa Mkoloni. Na ukweli ndo huu...CCM ndio chanzo cha matatizo yetu. Tunahitaji ukombozi mpya. I say: No More to CCM. Ningeomba kila mtu atakaye post hapa amalize kwa hii sahihi: NO MORE CCM.
Zifuatazo ni threads zinazozungumzia hili CHANGA LA MACHO:
1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ikuwa-sahihi-na-kamati-ya-bunge-ilikosea.html
2. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/41106-siri-yafichuka-umeme-tatizo-sugu.html
3. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/41056-power-crisis-tough-times-ahead.html
4. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aifishwe-serikali-yapinga-mgao-waendelea.html
5. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aamuru-mitambo-ya-iptl-iwashwe-mara-moja.html
6. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/41888-can-iptl-save-us.html
7. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-juu-zaidi-ya-mara-6-kulingana-na-dowans.html
8. https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/10842-ufisadi-the-making-of-iptl.html
Kwanza walianza kwa kutuzungusha-zungusha na vikao vya Halmashauri Kuu ya Chama iliyomswali Spika, mara sijui TRL na hao wahindi. Lakini kumbe zote hizi zilikuwa njama za kutuvuruga akili, kwa kusudi tusishtukie bao lililofuata! Bao lenyewe ni IPTL kulipwa Tsh23 Billion a month. Ivi watu wangapi wanajua hao IPTL ni nani? Ivi hii pesa tunaijua au ni kuitamka tu? Wabunge wetu wamelala au vipi? Nadhani wananchi wangependa kuona na kusikia kelele zaidi kutoka bungeni, pamoja na mahesabu ya hayo malipo tulipayo kila kukicha.
Jamani bei ya Magenerator mapya ya umeme ni kiasi gani? Bei ya kuyasafirisha mpaka hapa ni kiasi gani? Mbona tumefanywa kama Makondoo yasiyojua kitu? Mbona nchi yetu inageuzwa kuwa Pango la Wanyang'anyi?
Mpambano wa kuiondoa CCM ni sawa na ule uliomuondoa Mkoloni. Na ukweli ndo huu...CCM ndio chanzo cha matatizo yetu. Tunahitaji ukombozi mpya. I say: No More to CCM. Ningeomba kila mtu atakaye post hapa amalize kwa hii sahihi: NO MORE CCM.
Zifuatazo ni threads zinazozungumzia hili CHANGA LA MACHO:
1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ikuwa-sahihi-na-kamati-ya-bunge-ilikosea.html
2. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/41106-siri-yafichuka-umeme-tatizo-sugu.html
3. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/41056-power-crisis-tough-times-ahead.html
4. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aifishwe-serikali-yapinga-mgao-waendelea.html
5. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aamuru-mitambo-ya-iptl-iwashwe-mara-moja.html
6. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/41888-can-iptl-save-us.html
7. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-juu-zaidi-ya-mara-6-kulingana-na-dowans.html
8. https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/10842-ufisadi-the-making-of-iptl.html