Tunahoji utabiri wa Wassira

Tunahoji utabiri wa Wassira

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Huu ni mwaka wa mwisho kabla hatujaingia ktk uchaguzi Mkuu 2015,Wasira ktk Moja ya hotuba zake alituaminisha watanzania kuwa LA IMA chadema itakufa kabla ya 2012 na haitakuwepo katka uchaguzi 2015.Sasa bado tunaiona cdm ipo na inaendelea kwa nguvu.Je Wasira alikuwa anatafuta umaarufu?
 
Ule utabiri kuwa chadema itakufa uliompa ummarufu wa kushinda Uchaguzi kwenye NEC Umeshakufa - Wameshakwama. Aliwadanganya wenzake apate ujumbe wa NEC
 
Alimtegemea zitto ,na zitto alitegemea akina shonza ndo hivyo mambo yamegoma
 
Utabiri wa Wassira utatimia pale ambapo Maisha Bora kwa kila Mtanzania utakapotimilika. Subirini tu kidogo maana tukimaliza ziara za ughaibuni maisha sasa yatatiririka kama maji ya bomba. Subirini tu maana mambo yatatimia kwa kasi mpya, Ari mpya na Nguvu mpya. ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha....
 
Haa haa, wasira alikuwa anafanya utabiri, chadema kama wakiwa makini hawawezi sambaratika, watanzania wengi wanatamani mabadiliko! Chadema wajipange waende vijijini kutoa elimu ya uraia! Bila kufanya hivo kuna hatari ya kusambaratika kweli!
 
Kumbe ndio maana wanahangaika kutuma mamluki wanaojifanya wajumbe wa baraza kuu ili utabiri utimie
 
Kumbe ndio maana wanahangaika kutuma mamluki wanaojifanya wajumbe wa baraza kuu ili utabiri utimie

Wasira hata usingizi hapati kwa kuiona Cdm bado ipo.
 
Hata yule shehe wao mtabiri alitabiri kuwa atakayegombea dhidi ya kikwete atakufa akaishia kufa yeye!
 
Na atatangulia yeye mbele ya khaki akahukumiwe
 
Alimtegemea zitto ,na zitto alitegemea akina shonza ndo hivyo mambo yamegoma

Kwani wana jamvi vipi ile saa7,Dw wameendesha mdahalo kati ya Zzk,Kafulila?
 
alimtegemea zitto ,na zitto alitegemea akina shonza ndo hivyo mambo yamegoma

uwepo wa cdm ni mpango maalum wa mungu wa kuwatetea watanzania wanao ishi katika lindi la umsikini ili hali mungu mwenyewe ameiumba tanzania kwa kuipa kila aina ya utajili. Hivyo mafisadi wa magamba wasahau kwamba cdm itakuwa bali watakufa wao na 2014 kifo 2015 mazishi
 
Huu ni mwaka wa mwisho kabla hatujaingia ktk uchaguzi Mkuu 2015,Wasira ktk Moja ya hotuba zake alituaminisha watanzania kuwa LA IMA chadema itakufa kabla ya 2012 na haitakuwepo katka uchaguzi 2015.Sasa bado tunaiona cdm ipo na inaendelea kwa nguvu.Je Wasira alikuwa anatafuta umaarufu?

Wewe huoni inavyoendelea kufa. Ndo kifo hicho, inapumulia Mashine (ICU). Muulize Mwenyekiti na Katibu watakujuza.
 
Utabiri wake umetimia kwake Maana 2015 ,Jimbo lake chadema analichukuwa apende asipende
 
Hata Sheikh Yahya alitabiri kwamba atakayegombea dhidi ya Jakaya Kikwete atakufa. Matokeo yake yeye ndiye akafa. If history has anything to go by tunasubiri kifo cha Wassira kabla ya 2015. He wrote his own obituary! Kama hatakufua KIMWILI basi atakufa KISIASA kwa jimbo lake kuchukuliwa na CHADEMA au na Esther Bulaya. Mark my words.
 
Wewe huoni inavyoendelea kufa. Ndo kifo hicho, inapumulia Mashine (ICU). Muulize Mwenyekiti na Katibu watakujuza.

Mawazo yako na Wasira hayana tofauti,pole
 
Hata Sheikh Yahya alitabiri kwamba atakayegombea dhidi ya Jakaya Kikwete atakufa. Matokeo yake yeye ndiye akafa. If history has anything to go by tunasubiri kifo cha Wassira kabla ya 2015. He wrote his own obituary! Kama hatakufua KIMWILI basi atakufa KISIASA kwa jimbo lake kuchukuliwa na CHADEMA au na Esther Bulaya. Mark my words.

Kama ningekuwa na nafasi ya kumshauri Wasira,ningemwambia 2015 hasitie mguu ktk uchaguzi
 
Kisiasa wassira ni aina ya wadada kule nairobi hutwa gold diggers-wamama wanaotoa huduma za kimapenzi kwa malipo kinyume cha sheria.wewe ukisikiliza utabiri wa gold digger utakuwa pia na hitilafu za kiakili
 
Back
Top Bottom