Kisiasa wassira ni aina ya wadada kule nairobi hutwa gold diggers-wamama wanaotoa huduma za kimapenzi kwa malipo kinyume cha sheria.wewe ukisikiliza utabiri wa gold digger utakuwa pia na hitilafu za kiakili
Alimtegemea zitto ,na zitto alitegemea akina shonza ndo hivyo mambo yamegoma
Utabiri wa Wassira utatimia pale ambapo Maisha Bora kwa kila Mtanzania utakapotimilika. Subirini tu kidogo maana tukimaliza ziara za ughaibuni maisha sasa yatatiririka kama maji ya bomba. Subirini tu maana mambo yatatimia kwa kasi mpya, Ari mpya na Nguvu mpya. ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha....
Huu ni mwaka wa mwisho kabla hatujaingia ktk uchaguzi Mkuu 2015,Wasira ktk Moja ya hotuba zake alituaminisha watanzania kuwa LA IMA chadema itakufa kabla ya 2012 na haitakuwepo katka uchaguzi 2015.Sasa bado tunaiona cdm ipo na inaendelea kwa nguvu.Je Wasira alikuwa anatafuta umaarufu?
Hata yule shehe wao mtabiri alitabiri kuwa atakayegombea dhidi ya kikwete atakufa akaishia kufa yeye!
Utabiri wake umetimia kwake Maana 2015 ,Jimbo lake chadema analichukuwa apende asipende
Huu ni mwaka wa mwisho kabla hatujaingia ktk uchaguzi Mkuu 2015,Wasira ktk Moja ya hotuba zake alituaminisha watanzania kuwa LA IMA chadema itakufa kabla ya 2012 na haitakuwepo katka uchaguzi 2015.Sasa bado tunaiona cdm ipo na inaendelea kwa nguvu.Je Wasira alikuwa anatafuta umaarufu?
Wasira ni TAAHILA kwan hana uwezo wa KUFIKIRI KAMA BINADAMU WA KAWAIDA BALI KAMA JAMII YAKE YA SOKWE MTU.Huu ni mwaka wa mwisho kabla hatujaingia ktk uchaguzi Mkuu 2015,Wasira ktk Moja ya hotuba zake alituaminisha watanzania kuwa LA IMA chadema itakufa kabla ya 2012 na haitakuwepo katka uchaguzi 2015.Sasa bado tunaiona cdm ipo na inaendelea kwa nguvu.Je Wasira alikuwa anatafuta umaarufu?
Wewe huoni inavyoendelea kufa. Ndo kifo hicho, inapumulia Mashine (ICU). Muulize Mwenyekiti na Katibu watakujuza.