Nashangaa. These guys hav been travelling abroad since they took power. Why can't they learn? Nilikua namsikia kiravu na uyo profesa chaligha wanadanganya raia kua nchi zote tume ya uchaguzi inaendeshwa na serikali;iyo ni kweli,ila viongozi wa tume uwa ni wateuzi wa rais na washauri wake,ambao ni lazima waidhinishwe na bunge. Ina mana wanahojiwa na bunge,na bunge lina uwezo wa kuwakubali au kuwakataa. Kisha viongozi hao wanakua wanawajibika kwa bunge,ikimaanisha ni bunge pekee ndo linaweza kuwafukuza au kuwasimamisha kazi. Ila kwa Tanzania,the opposite is true. Kazi kwelikweli.