PreGE2025 Tunahitaji Reforms ili uchaguzi wa Haki Ufanyike

PreGE2025 Tunahitaji Reforms ili uchaguzi wa Haki Ufanyike

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
34,399
Reaction score
80,079
Nipo Salama! Hofu Kwenu!

Tunahitaji reforms sio kwaajili ya Chama Fulani bali kwaajili ya vyama vyote.

Reforms kwaajili ya CCM,
Reforms kwaajili ya CHADEMA,
Reforms kwaajili ya vyama vyote vya siasa nchini.
Reforms kwa Sisi tusio na vyama lakini ni wapiga Kura.

Reforms ambazo zitafanya uchaguzi uwe wa Haki ili Ile dhana ya Free and fair election iwe halisi.

Tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi ambayo kupitia hiyo uchaguzi utakuwa huru na wahaki!

Tume Huru ambayo vyombo vya Dola vitakuwa huru kufanya KAZI yao pasipo shinikizo kutoka upande wowote. Mwenye kushinda apewe ushindi wake. Aliyeshindwa akae pembeni ajipange wakati ujao.

Watibeli siku zote hatutakaa upande wa dhulma. Kwa sababu upande wa dhulma ni upande wa mshindwa, upande dhaifu, upande usio na nguvu.

Tunahitaji Reforms ambazo zitafanya Kura ya mwananchi iwe na nguvu.

Hatuhitaji tume ambayo itatupa viongozi wanaoshindwa kutetea wananchi wao na matokeo yake wanajipendekeza kwa Serikali.

Tume ambayo itatupa viongozi wanaotambua nguvu ya mihimili mitatu inayoongoza nchi yetu.

Tume ambayo itatupa wabunge ambao sio wagonga Meza kwa kila kitu hata kama vingine vinatakiwa ku- be challenged.

Tume ambayo itatupa viongozi ambao mtanzania mmoja akiumizwa, akitekwa ni lazima nchi isimame Kwanza kuhakikisha haki ya mtanzania huyo imepatikana.

Tume ambayo itatupa viongozi watakaoheshimu vyombo vya Dola na sio kuvidharau na kudharau vijana wetu wanaofanya KAZI huko kwa kuwapa KAZI kinyume na maadili ya KAZI Yao na kinyume na utu wa mwanadamu.

Tunahitaji Reforms ili uchaguzi uwe wa Haki.

HAKI HUINUA TAIFA!

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa Sasa, Dar es salaam
 
Nipo Salama! Hofu Kwenu!

Tunahitaji reforms sio kwaajili ya Chama Fulani bali kwaajili ya vyama vyote.

Reforms kwaajili ya CCM,
Reforms kwaajili ya CHADEMA,
Reforms kwaajili ya vyama vyote vya siasa nchini.
Reforms kwa Sisi tusio na vyama lakini ni wapiga Kura.

Reforms ambazo zitafanya uchaguzi uwe wa Haki ili Ile dhana ya Free and fair election iwe halisi.

Tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi ambayo kupitia hiyo uchaguzi utakuwa huru na wahaki!

Tume Huru ambayo vyombo vya Dola vitakuwa huru kufanya KAZI yao pasipo shinikizo kutoka upande wowote. Mwenye kushinda apewe ushindi wake. Aliyeshindwa akae pembeni ajipange wakati ujao.

Watibeli siku zote hatutakaa upande wa dhulma. Kwa sababu upande wa dhulma ni upande wa mshindwa, upande dhaifu, upande usio na nguvu.

Tunahitaji Reforms ambazo zitafanya Kura ya mwananchi iwe na nguvu.

Hatuhitaji tume ambayo itatupa viongozi wanaoshindwa kutetea wananchi wao na matokeo yake wanajipendekeza kwa Serikali.

Tume ambayo itatupa viongozi wanaotambua nguvu ya mihimili mitatu inayoongoza nchi yetu.

Tume ambayo itatupa wabunge ambao sio wagonga Meza kwa kila kitu hata kama vingine vinatakiwa ku- be challenged.

Tume ambayo itatupa viongozi ambao mtanzania mmoja akiumizwa, akitekwa ni lazima nchi isimame Kwanza kuhakikisha haki ya mtanzania huyo imepatikana.

Tume ambayo itatupa viongozi watakaoheshimu vyombo vya Dola na sio kuvidharau na kudharau vijana wetu wanaofanya KAZI huko kwa kuwapa KAZI kinyume na maadili ya KAZI Yao na kinyume na utu wa mwanadamu.

Tunahitaji Reforms ili uchaguzi uwe wa Haki.

HAKI HUINUA TAIFA!

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa Sasa, Dar es salaam
wakina lema walivoshinda ubunge NEC haikupewa izi shutma 🤣 🤣 , chama kishakufa kinapiga tu kelele za no reform
 
Reform itasaidia kwenye masuala ya wasio na vyeo vya kisiasa wapate ila kama tunataka maendeleo ni zaidi ya reformed Election.
 
Back
Top Bottom