Tunahitaji muujiza watanzania wenzangu

Tunahitaji muujiza watanzania wenzangu

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Amini usiamini watanzania wengi hatupendi kufanya kazi.

Majuzi nilianzisha mradi na vijana wasiokuwa na kazi, ili tuunde kikundi cha kufanya kazi pamoja, nilichowaeleza vijana wale kikundi kile kitaongozwa na kauli mbiu ya mchango wako wa hali ndo muhimu kuliko mali.

Nikatoa ufadhiri wa kusimamisha project ndogondogo, nikawaambia vijana wale tufanye kazi hata za kuuza maji ya ndoa maeneo ya stand, tuuze hata juice ya makopo, icecream na hata tuwe na genge la kuuza chakula, amini usiamini vijana wale wamenikimbia, kila siku wapo kijiweni asubuhi hadi jioni hawana cha kufanya.

Hapo ndo nikaamini maneno ya viongozi wetu waliowahi kusema watanzania ni wavivu kufanya kazi.

Kwa hali niliyoiona tunahitaji muujiza tu kututoa hapa, hebu angalieni hata hapa JF, jukwaa hili ndo lina wachangiaji wengi, akiri zetu tumezielekeza kwenye mapenzi, vijana wale kila kukicha wanafukuzana na wanawake tu, kuvuta sigara na mengine ya ovyo.
 
Kwakuwa wanapenda sana wanawake ungewaambia wafanye kazi asubuhi na jioni unawatafutia papuchi za bure.

wao wanataka kula raha tu bila kufanya kazi.
 
wewe unashauri tufanyaje kutokana na hali hii...
 
Amini usiamini watanzania wengi hatupendi kufanya kazi. Majuzi nilianzisha mradi na vijana wasiokuwa na kazi, ili tuunde kikundi cha kufanya kazi pamoja, nilichowaeleza vijana wale kikundi kile kitaongozwa na kauli mbiu ya mchango wako wa hali ndo muhimu kuliko mali. Nikatoa ufadhiri wa kusimamisha project ndogondogo, nikawaambia vijana wale tufanye kazi hata za kuuza maji ya ndoa maeneo ya stand, tuuze hata juice ya makopo, icecream na hata tuwe na genge la kuuza chakula, amini usiamini vijana wale wamenikimbia, kila siku wapo kijiweni asubuhi hadi jioni hawana cha kufanya. Hapo ndo nikaamini maneno ya viongozi wetu waliowahi kusema watanzania ni wavivu kufanya kazi. Kwa hali niliyoiona tunahitaji muujiza tu kututoa hapa, hebu angalieni hata hapa JF, jukwaa hili ndo lina wachangiaji wengi, akiri zetu tumezielekeza kwenye mapenzi, vijana wale kila kukicha wanafukuzana na wanawake tu, kuvuta sigara na mengine ya ovyo.

pumbu wewe
 
we ulikosea kitu....ungeuliza hao vijana wana interest gani kwanza
mtu labda ni fundi cherehani kakosa tu mtaji unataka umpe ndoo auze maji stendi?
serious?
halafu mtu kukaa kijiweni haimaanishi ni maskini wa mwisho..kabda ana uhakika wa kula kila siku so anachotaka ni kitu kitakacho mpeleka next step sio tena wewe uanze tena mfundisha kutafuta hela ya kula....
 
Ilibidi mjadiliane kwa pamoja nini wanaweza kufanya,uliwapa vitu wasivyoviweza,anyway hili ni tatizo kwa vijana wengi hawapendi kazi za sulubu. Hongera kwa kuthubutu kuinua vijana wenzako.
 
Ilibidi mjadiliane kwa pamoja nini wanaweza kufanya,uliwapa vitu wasivyoviweza,anyway hili ni tatizo kwa vijana wengi hawapendi kazi za sulubu. Hongera kwa kuthubutu kuinua vijana wenzako.

vijana niliongea nao na kufungua mawazo upande wao ili wapendekeze nini wanachoweza kufanya kufanya, amini usiamini vijana wale wamepotea na sijui walikohamia.
 
we ulikosea kitu....ungeuliza hao vijana wana interest gani kwanza
mtu labda ni fundi cherehani kakosa tu mtaji unataka umpe ndoo auze maji stendi?
serious?
halafu mtu kukaa kijiweni haimaanishi ni maskini wa mwisho..kabda ana uhakika wa kula kila siku so anachotaka ni kitu kitakacho mpeleka next step sio tena wewe uanze tena mfundisha kutafuta hela ya kula....

mkuu mbona wala sikuwabana, kulikuwa na nafasi ya wao kusema wanachotaka.
 
Pesa za papuch wanazpata wap bla kufanyakaz?????????????
 
wewe unashauri tufanyaje kutokana na hali hii...

system ya elimu kwa nchi yetu iangaliwe upya, maana katika kundi hili pia nilikaribisha vijana waliomaliza vyuo, lakini nao wameona heri kubaki vijiweni. Pia tunahitaji kiongozi mkali, nadhani dikteta atakayekuwa mkali kuhakikisha vijana kama hawa wanarudishwa vijijini wakalime, ila waboreshewe mazingira huko na mwisho nashauri vyombo vya usalama viwe moto maana wengi wa hawa vijana wamegeuka kuwa vibaka na kwa kweli wanapata, umelala wanatoboa dirisha wanaiba na wanaendelea kupeta, wakidhibitiwa najua watafanya kazi halali.
 
mkuu mbona wala sikuwabana, kulikuwa na nafasi ya wao kusema wanachotaka.

kuwaongoza watu first wakuamini....you have to inspire them...badala ya kuwauliza mfanye nini
anza mwenyewe kulima hivi waone faida halafu ndo uwakaribishe...
 
kwani hao vijana wanalala njaa? kila mtu ana kitu anachotaka kukifanya.napata mashaka watoto hao waliona kwamba unataka kuwatumia tu ili ijitajirishe wewe na sio kuwakwamua.

hapa jukwaani unaona huku wako wengi sio kwamba hawafanyi kazi bali ni kama sehemu ya kurefresh/kutuliza akili kidogo. jukwaa la siasa huwezi kuta mada ya kukufanya ucheke au kutabasamu badala ya kuzidi kukuumiza kichwa zaidi na hayana uhalisia zaidi ya siasa za msisimko.
 
inategemeana na ulivyowatongoza yani hapo ndio tatizo kama umeonyesha we ndo utafaidi kuliko wao hapo ni ngumu watu kukubaliana na wewe....
 
system ya elimu kwa nchi yetu iangaliwe upya, maana katika kundi hili pia nilikaribisha vijana waliomaliza vyuo, lakini nao wameona heri kubaki vijiweni. Pia tunahitaji kiongozi mkali, nadhani dikteta atakayekuwa mkali kuhakikisha vijana kama hawa wanarudishwa vijijini wakalime, ila waboreshewe mazingira huko na mwisho nashauri vyombo vya usalama viwe moto maana wengi wa hawa vijana wamegeuka kuwa vibaka na kwa kweli wanapata, umelala wanatoboa dirisha wanaiba na wanaendelea kupeta, wakidhibitiwa najua watafanya kazi halali.

achana na mbinu za ukali....you have to appeal to their desire and aspirations
waone ni kiasi gani watafanikiwa wakikusikiliza....that's all
 
Ebu acha kudanganya watu na uongo wako wa CCM eti watu hawataki kazi wakati nyie mnaiba bilions of dollars za walipa kodi.wewe utakuwa ccm wewe.Wewe unaweza kupanga chumba,kulisha familia na kuowa na hizo biashara zako za kilevi hizo???
 
Amini usiamini watanzania wengi hatupendi kufanya kazi.

Majuzi nilianzisha mradi na vijana wasiokuwa na kazi, ili tuunde kikundi cha kufanya kazi pamoja, nilichowaeleza vijana wale kikundi kile kitaongozwa na kauli mbiu ya mchango wako wa hali ndo muhimu kuliko mali.

Nikatoa ufadhiri wa kusimamisha project ndogondogo, nikawaambia vijana wale tufanye kazi hata za kuuza maji ya ndoa maeneo ya stand, tuuze hata juice ya makopo, icecream na hata tuwe na genge la kuuza chakula, amini usiamini vijana wale wamenikimbia, kila siku wapo kijiweni asubuhi hadi jioni hawana cha kufanya.

Hapo ndo nikaamini maneno ya viongozi wetu waliowahi kusema watanzania ni wavivu kufanya kazi.

Kwa hali niliyoiona tunahitaji muujiza tu kututoa hapa, hebu angalieni hata hapa JF, jukwaa hili ndo lina wachangiaji wengi, akiri zetu tumezielekeza kwenye mapenzi, vijana wale kila kukicha wanafukuzana na wanawake tu, kuvuta sigara na mengine ya ovyo.

ulianza vizuri thread yako lakini umenichefuwa kuja kufanya sample mmu na hao watoto wenzako mtaani.

kwanza ni takwimu zipi umetumia kujuwa mmu ndio lina wachangiaji wengi? au wewe ndio mpenzi wa mmu?

ungekuwa una adabu ningeshushia nondo kutokana na hoja yako lakini style yetu jf kila mtu anastahili kujibiwa according to ur approach, ni hivi hata New York kazi za kijingajinga ni za wajingawajinga wahamiaji na siyo za watoto mjini born here here.

Dar es salaam ni jiji ambalo unaweza kuishi hata kwa upambe tu na mambo safi na Heineken inanyweka kama kawa. wanyamwezi wana watoto wakali mtaani unataka uwafanyishe biashara ya harawa? kuuza mabarafu? umekuja na mbio za mwenge nini bro?

Ahahahahahaha!! Dar city center.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom