Tunahitaji Diamond Platnumz watano ili...

Tunahitaji Diamond Platnumz watano ili...

Hizi team ndio huamsha ushindani..

Sema nyingi teammavi zinatukana balaa,

Sasa dada Heaven on Earth mbona hata wewe hapo ushatukana??

Nilimsikia mwanamziki mmoja akiliongelea hili(simkumbuki jina) kuwa tusijisifu sana muziki wetu bado sana maana kusema umekua alafu anatajwa mtu mmoja ni kujidanganya, na watz hatutaki wengine wapande maana wengine wakifanya juhudi wanabezwa na kila aina ya tusi, thats why inapandikizwa chuki iliyopelekea hizo team, na kuweka uwest au usouth kwenye mziki wetu ndio tunauua wenyewe bila kujua(nafikiri hata p.2 walishaliongelea hili)
 
Last edited by a moderator:
Ay and Chibu dangote

Next namuona V Money,

next nilikua namuona Rich mavoco sasa simuoni tena sijui tatizo nn,
Kiba ,Ommy,Jux nahisi bado vitu kidogo tu wataingia kundini MUNGU jalia muziki wa tanzania upige hatua.

ni kweli hawa watatu wako poa
 
Watanzania wote tunajivunia KingKiba pekee kama msanii wa kimataifa ila hao wengine labda tuwape muda kidogo baada ya miaka kama 4 mbeleni.

Hao watanzania gani mkuu? Naona unaeleza hisia zako kwa sauti.Ushabik unakufanya ushindwe kusema kweli...... Kwa aina hii sasa tutafikaje tunakoenda kama had kwenye vitu serious watu bado wanaleta mihemko.Nakushaur nenda kwenye thread ya team husika ndo ukaandike hicho kitu.Otherwise na-assume hujaelewa mada.
 
Back
Top Bottom