Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,273
Hizi team ndio huamsha ushindani..
Sema nyingi teammavi zinatukana balaa,
Sasa dada Heaven on Earth mbona hata wewe hapo ushatukana??
Nilimsikia mwanamziki mmoja akiliongelea hili(simkumbuki jina) kuwa tusijisifu sana muziki wetu bado sana maana kusema umekua alafu anatajwa mtu mmoja ni kujidanganya, na watz hatutaki wengine wapande maana wengine wakifanya juhudi wanabezwa na kila aina ya tusi, thats why inapandikizwa chuki iliyopelekea hizo team, na kuweka uwest au usouth kwenye mziki wetu ndio tunauua wenyewe bila kujua(nafikiri hata p.2 walishaliongelea hili)
Last edited by a moderator: