Tunahitaji Diamond Platnumz watano ili...

Tunahitaji Diamond Platnumz watano ili...

Vee Money nae anazidi Ku shine for sure...

Ndio pekee nnayeweza kumuwazia kuwa next Diamond, yuko siriaz aisee kutoa ngoma kali, video na kujibrand, mambo yake yamekaa kiinteneshnointeneshno. Mtu kama Barnaba anajua sana kuimba though simuoni kama anaweza kutoboa kimataifa, ingawa siwezi kuelezea kitaalam nini anamiss but najua anamiss vitu vingi tu. Ben Pol/ Jux ni ngumu pia kutusua kimataifa coz wanaimba RnB, wakitaka wafike mbali wachange kwenda kwenye maAfropop
 
Jide kapoa sa hivi.... Kuna nyimbo niliona anataka toa sijui imetoka... Vee money ana juhudi.. Which is good

+Keshatoa inaitwa give me love kawashirikisha mazet na DJ maphorisa, sema ndo hivo hata yeye hajipi promo,
Kila kitu kina mwisho na yeye wakati wake ndo unapita sasa.
 
Kimsingi naungana naww ila nadhani tatizo kubwa nililoliona na ni muda mrefu ni management. Talent tunazo, muziki mzuri upo mpaka saa nyingine hua natamani Africa ingeuskia huu mziki ila tatizo kubwa ni MANAGEMENT NZURI kama aliyonayo bwana diamond, tungepata wakina Babutale na Said Fella wengine watano wawasimamie wakina omy, kiba, v money, rich mavoko n.k. Nakwambia tungefika mbaaali sana

ni kweli mkuu
 
AY alikuwa na trend nzuri sana kabla ya Diamond but sahivi amestack, kwa juhudi alizowahi kuzifanya alistahili kuwa mbele ya Diamond, ni vile tu hana nyota ya mchezo
AY alikuwa na nia na alikuwa tayari kuwekeza kwenye muziki wake lakini tatizo alikosa strategy pale alipotaka kuanza kwa kukimbia kabla hajaweza kutembea! Huwezi kufikiria kutoka nje ya mipaka ya Afrika wakati hata kwenye ukanda wako wa Afrika, kwa case hii, ikiwa hata Afrika Mashariki bado hujaikamata! Angeendelea kujikita zaidi Afrika kabla ya kuwafikiria akina Sean Kingston nadhani leo hii angekuwa mbali! Unapofanya collabo na mtu kama Kingston ni kwamba unataka kujitangaza America, Jamaica and other outside world... no way... hata hao wa-Nigeria waliotuzidi hawapo stupid kiasi hicho! P Square mathalani, wanafahamu wakitaka kujitangaza East Africa basi ni lazima wafanye kazi na mtu kama Diamond au mwingine sawa na yeye lakini hawawezi kufanya kazi na Chris Brown halafu watarajie kuiteka East Africa! AY angejikita kwenye kujitanua kwenye kanda mbalimbali za Africa, hivi sasa angekuwa mbali sana!
 
AY alikuwa na nia na alikuwa tayari kuwekeza kwenye muziki wake lakini tatizo alikosa strategy pale alipotaka kuanza kwa kukimbia kabla hajaweza kutembea! Huwezi kufikiria kutoka nje ya mipaka ya Afrika wakati hata kwenye ukanda wako wa Afrika, kwa case hii, ikiwa hata Afrika Mashariki bado hujaikamata! Angeendelea kujikita zaidi Afrika kabla ya kuwafikiria akina Sean Kingston nadhani leo hii angekuwa mbali! Unapofanya collabo na mtu kama Kingston ni kwamba unataka kujitangaza America, Jamaica and other outside world... no way... hata hao wa-Nigeria waliotuzidi hawapo stupid kiasi hicho! P Square mathalani, wanafahamu wakitaka kujitangaza East Africa basi ni lazima wafanye kazi na mtu kama Diamond au mwingine sawa na yeye lakini hawawezi kufanya kazi na Chris Brown halafu watarajie kuiteka East Africa! AY angejikita kwenye kujitanua kwenye kanda mbalimbali za Africa, hivi sasa angekuwa mbali sana!

There goes my baby si maneno yangu ni ya Usher Raymond
 
Muziki wetu utakuwa ikiwa wasanii watatia juhudi na wakikubali changamoto kwa kujifunza. Tatizo kuna wasanii tena wakubwa tu msanii mwenzao akipiga hatua wanaona kuwa anawazibia riziki.

Mafanikio yoyote yanaletwa na juhudi, hakuna shortcut kwenye kupata mafanikio. Ukiacha Diamond ambaye tunaona kapiga hatua fulani, kuna Vanessa Mdee huyu soon atatisha sana sababu ana juhudi haswa. Muziki hauna uchawi wowote zaidi ya kufanya juhudi na kuwa na mipango mizuri.
 
Kweli Ambwene amestack bana,lkn namuaminia sana huyu kijana hope siku moja atarudi vizuri,

AY angefanya video kali hii track yake ya Zigo ingemvusha sana. Sijui kwa nini hii ngoma anaichukulia poa, ukishachuja itamchukua muda kufanya muziki kama huu.
 
itakuwa rahisi kama tutakuwa na muziki utakaotutambulisha kama watanzania.hebu angalia south africa,drc na nigeria........
 
Watanzania wote tunajivunia KingKiba pekee kama msanii wa kimataifa ila hao wengine labda tuwape muda kidogo baada ya miaka kama 4 mbeleni.

duh kiba ana bahati mbaya kwa kupata mashabiki wanafki kama wewe
 
Safi sana, nimependa michango hapa, ila kuna vinyamkera vinataka chafua hali ya hewa.
 
Watu wanajadir ishu za maana linatokea zombi flaniii iviiii linachafua hewa...sasa hizo timu mavi ndo tunazikataa lakin limtu linathubutuui kusema et kibaa wa kimataifaaa...kweliiii jamn huyu mtu yupo serious na kinachojadiliwa hapa au ushabik uliopitiliza
 
Kweli umeongea vanesaa mdee anaelekea level izo ila wengine bado sana juhudi zinahitajika sn

Mkuu uwaambie hao team kiba wamshauri jamaa yao ajitahidi kama dai...

Mm napenda kiba awe kama dai
 
Mkuu uwaambie hao team kiba wamshauri jamaa yao ajitahidi kama dai...

Mm napenda kiba awe kama dai

Yap itapendeza coz mziki wa tz utavuka boda km Nigeria wengi wa wasanii wao wanafanikiwa hawanaga chuki za wao kwa wao sn beef nyingi wanazimalizaga
 
Angefanya kazi bila presha angepiga hatua ata mipango yake angeifanya vizuri. Tatizo kama ni mchezaji uwanjani basi anacheza na makelele ya jukwaa.
Ni kweli mkuu Kiba akiamua kwenda na mipango yake atatusua ila hii presha ya wanaojiita team yake ndo inamuharibu
 
Back
Top Bottom