harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Kutokana na kuwepo kwa vijana wengi kwenye siasa katika wakati huu kuna uhitaji mkubwa wa vijana
kuanzisha baraza huru la kitaifa la vijana ambalo haitafungamana na chama chochote cha siasa na wale halitakuwa
linabase moja kwa moja kwenye siasa za kukosoana kichama hii ni ili
1. kuwepo kwa umoja wa kitaifa baina ya vijana wote.
2.kuwepo na utanzania kwanza kabla ya kuzungumzia chama.
3.Vijana kujenga umoja wao pasi na itikadi za vyama vyao .
4.Kuondoa mgawanyiko unaoweza kujitokeza sasa kwa vijana wa taifa hili.
5.Kuwepo na kulindwa kwa maslahi ya taifa hili katika nyanja zote kupitia vijana.
6.kujenga sauti ya pamoja kutoka kwa vijana pasipo chama wala Dini zao.
Ili kufanikisha haya wana JF, mnaombwa kutoa maonoi yenu ya kina .
nawasilisha................................
kuanzisha baraza huru la kitaifa la vijana ambalo haitafungamana na chama chochote cha siasa na wale halitakuwa
linabase moja kwa moja kwenye siasa za kukosoana kichama hii ni ili
1. kuwepo kwa umoja wa kitaifa baina ya vijana wote.
2.kuwepo na utanzania kwanza kabla ya kuzungumzia chama.
3.Vijana kujenga umoja wao pasi na itikadi za vyama vyao .
4.Kuondoa mgawanyiko unaoweza kujitokeza sasa kwa vijana wa taifa hili.
5.Kuwepo na kulindwa kwa maslahi ya taifa hili katika nyanja zote kupitia vijana.
6.kujenga sauti ya pamoja kutoka kwa vijana pasipo chama wala Dini zao.
Ili kufanikisha haya wana JF, mnaombwa kutoa maonoi yenu ya kina .
nawasilisha................................