Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 5,279
- 7,149
Miaka 2 ilopita niliweka Bandiko hapa kuhusu Epoxy...
Mwanzo changamoto ilikua upatikanaji wa Materials ya Epoxy, na sasa kuna uhakika wa upatikanaji wa Materials, ndani na baadhi ya Materials nje....
Tupo group la vijana kadhaa na tunafanya vitu vifuatavyo....
1.Epoxy Metallic floor (effect).
2.Epoxy plain floor.
3.3D Epoxy floor.
Hatuhitaji any upfront payment toka kwa Client, baada ya makubariano sisi tutakuja Site na Materials yetu na kufanya kazi.
Taratibu zetu.
Kwa Taasisi binafsi na Taasisi za Serikali, hatutaenda Site bila Ku sign Contract, means kama site ipo Mkoani mnatakiwa kututumia Contract na baada ya sisi Ku sign tunaandaa Materials tunakuja kuanza kazi.
Kwa watu Binafsi pia tunaingia Mkataba unakua signed then tunaandaa Materials tunakuja Site kufanya kazi.
Tuna uzoefu tumefanya na tunendelea kufanya kazi na Tasisi za Serikali hasa Hospitals.
Tumefanya na tunafanya kazi na Tasisi binafsi.
Tumefanya na tunafanya kazi na watu Binafsi.
Bei zetu zipo tofauti, kulingana na ukubwa wa kazi, aina ya Epoxy na Umbali wa Site tokea Dar es salaam....
Chagua aina ya Epoxy, nambie eneo site ilipo, nipe eneo unalotegemea kuweka Epoxy.......Mimi ntakupa bei zetu...!
Epoxy inaweza kuwekwa kwenye floor, ukutani pia juu......Epoxy inawekwa kwenye majengo mbalimbali kama HOSPITAL, HOTEL, MAABARA, NIGHT CLUB, LOUNGE, MAJUMBANI na sehemu nyingine.
Hapo chini no baadhi ya kazi zetu..
Kama una swali lolote kuhusu Epoxy unaweza kuuliza....
Kama una mawazo, maoni unataka kujua zaidi kuhusu Epoxy tupigie simu tuandikie email.
Kwa mawasiliano.
0714417641 WhatsApp
0769535559
trechian@gmail.com
Karibu.
Mwanzo changamoto ilikua upatikanaji wa Materials ya Epoxy, na sasa kuna uhakika wa upatikanaji wa Materials, ndani na baadhi ya Materials nje....
Tupo group la vijana kadhaa na tunafanya vitu vifuatavyo....
1.Epoxy Metallic floor (effect).
2.Epoxy plain floor.
3.3D Epoxy floor.
Hatuhitaji any upfront payment toka kwa Client, baada ya makubariano sisi tutakuja Site na Materials yetu na kufanya kazi.
Taratibu zetu.
Kwa Taasisi binafsi na Taasisi za Serikali, hatutaenda Site bila Ku sign Contract, means kama site ipo Mkoani mnatakiwa kututumia Contract na baada ya sisi Ku sign tunaandaa Materials tunakuja kuanza kazi.
Kwa watu Binafsi pia tunaingia Mkataba unakua signed then tunaandaa Materials tunakuja Site kufanya kazi.
Tuna uzoefu tumefanya na tunendelea kufanya kazi na Tasisi za Serikali hasa Hospitals.
Tumefanya na tunafanya kazi na Tasisi binafsi.
Tumefanya na tunafanya kazi na watu Binafsi.
Bei zetu zipo tofauti, kulingana na ukubwa wa kazi, aina ya Epoxy na Umbali wa Site tokea Dar es salaam....
Chagua aina ya Epoxy, nambie eneo site ilipo, nipe eneo unalotegemea kuweka Epoxy.......Mimi ntakupa bei zetu...!
Epoxy inaweza kuwekwa kwenye floor, ukutani pia juu......Epoxy inawekwa kwenye majengo mbalimbali kama HOSPITAL, HOTEL, MAABARA, NIGHT CLUB, LOUNGE, MAJUMBANI na sehemu nyingine.
Hapo chini no baadhi ya kazi zetu..
Kama una swali lolote kuhusu Epoxy unaweza kuuliza....
Kama una mawazo, maoni unataka kujua zaidi kuhusu Epoxy tupigie simu tuandikie email.
Kwa mawasiliano.
0714417641 WhatsApp
0769535559
trechian@gmail.com
Karibu.