Tunaelekea wapi?

KUNYWA

Member
Sep 30, 2011
32
0
Kwa ufuatiliaji wangu kwa kadri ya uwezo wangu,nimegundua maovu mengi yaliyobainishwa hasa hasa toka mfumo wa vyama vingi kuanza nchini mwetu.Najua kuna maovu mengi,ila kwa leo nayarejea machache yaliyojitokeza.KWANZA makosa ya kifisadi,rushwa na usainiswaji wa mikataba mibovu.PILI uuzwaji wa kiholela wa raslimali zetu hasa wanyama pori hai na madini yetu.TATU uingizwaji wa bidhaa feki,zenye madhara kwa watumiaji na madawa ya kulevya.Maovu hayo baada ya kubainishwa,huishia kiholela.Tunapoelekea ni wapi??
 
Hakuna nchi yoyote duniani isiyokuwa na hayo matatizo hivyo acha kuchafua hali ya hewa hapa
 
Hakuna nchi yoyote duniani isiyokuwa na hayo matatizo hivyo acha kuchafua hali ya hewa hapa

Ni kweli kuwamba hakuna nchi isokuwa na matatizo.Lakini matatizo wayapatayo nchi nyingi za wenzetu suluhu hubainika.Lakini kwa hapa kwetu ni kinyume kwani waovu waliowengi hasa wale waovu wakubwa hukumbatiwa.
 
Ni kweli kuwamba hakuna nchi isokuwa na matatizo.Lakini matatizo wayapatayo nchi nyingi za wenzetu suluhu hubainika.Lakini kwa hapa kwetu ni kinyume kwani waovu waliowengi hasa wale waovu wakubwa hukumbatiwa.
Waweza kututajia majina ya hao waovu wakubwa na je hujui ya kwamba maandiko yanasema hakuna ovu jepesi hivyo ovu ni ovu tu haijalishi ni ovu la.aina gani
 
kwa ufafanuzi zaidi kama wewe ni mkristo maandiko yanasema hivi:hakuna dhambi nyepesi
 
kwa ufafanuzi zaidi kama wewe ni mkristo maandiko yanasema hivi:hakuna dhambi nyepesi

lakini katika hili halina chembe yoyote ya udini.Pia kumbuka kuwa nchi yetu na sheria zake hazifungamani na udini ndgugu yangu.
 
in principal panya hakamati panya mwenzie,kilichokosekana tz ni paka wa kukamata mapanya wanaotafuna rasilimali zetu tena HUKU WAKITUDHARAU KUPITA KIASI
 
Back
Top Bottom