Tunaelekea wapi kwa hili ongezeko la Wasagaji?

Naona kikubwa ulikua unaitambulisha club iliyoko buguruni na huduma wanazotoa na aina ya wateja wake.
hongera
 
nawaunga mkono huwezi kukataza watu kuwa malaya na wasagaji ni matokeo ya malezi mabaya na kushindwa kutumia akili.

Ndio maana kuna nchi wamehalalisha bangi kama una vuta vuta kama huvuti usivute akili kumkichwa
Akipendacho mtu chake
 
Dunia inaenda Kasi sana.

Baada ya kurudi nchini, Leo nimebahatika kuja hapa Lekam Club iliyopo Maeneo ya Buguruni. Nilichojionea ni masikitiko sana Kwa maendeleo ya taifa hili na ulimwengu Kwa ujumla.

Nimejionea club nzima imekodiwa na visichana vidogo ambavyo Kwa makamo ni miaka 19 mpaka 25.

Idadi ya watu ikiwa takribani 30+ people. 98% wakiwa wanawake, Kwa mahesabu ya haraka haraka wanaume tulikuwa Kama 7 including Dj's, cha ajabu zaidi wasichana wote waliokuja club kila mtu alikuwa na msichana mwenzake au demu wake inshort.

Bila uoga wala aibu yoyote kila demu na demu mwenzake walikuwa wanabambiana, kunyonyana Ndimi nk. Mimi nikiwa mwanaume pekee ninayecheza ukumbini huku wengine wakiwa hawana kampani wamejikalia vitini tu.

Hivi Kama taifa tunaeleka wapi. Hii Hali sio nzuri kwakweli hasa ukizingatia hawa ndo tunaowatarajia kuwa mama zetu au wake zetu wa baadae na pia kukiwa na ongezeko la mashoga.

Nadhani huu utandawazi unatuharibia sana, kuna namna Kama watanzania tunabidi tujirudi, tujitafakari Kama huku ndo tunakotaka kuelekea. Sijui miaka 20 ijayo Taifa letu litakuwaje Kama haya niliyoyaona yataendelea Kwa kiasi kikubwa.

Nawasilisha. Uzi tayari.
Taifa tunaelekea kama ambavyo wewe umewaona ukaendelea kukaa nao na kuburudika kwa kudance bila kuona ajabu sasa sijui kwanini baada ya kuburudika umekuja kuanzisha thread.
Ingelikuwa mimi ningeondoka eneo hilo
 
Yaani wangeruhusu tu maana UN report on demographics ya first quarter 2021 ulikuwa hivi 7.8bill people on planet,wanawake waliokuwa 5.6billion wanaume 2.2bill,na hapo ndio Kuna wanaume wamefungwa,Kuna mashoga,Kuna maparoko,kunawagonjwa wa akili,Kuna waliooa tayari!Sasa hapo itakuwaje mtuuoe tu hata watano watanohao wake zenu ongeeni nao kwa herufi kubwa Kama hawataki piga talaka
Hizo takwimu sijui kama ni kweli
 
Dunia inaenda Kasi sana.

Baada ya kurudi nchini, Leo nimebahatika kuja hapa Lekam Club iliyopo Maeneo ya Buguruni. Nilichojionea ni masikitiko sana Kwa maendeleo ya taifa hili na ulimwengu Kwa ujumla.

Nimejionea club nzima imekodiwa na visichana vidogo ambavyo Kwa makamo ni miaka 19 mpaka 25.

Idadi ya watu ikiwa takribani 30+ people. 98% wakiwa wanawake, Kwa mahesabu ya haraka haraka wanaume tulikuwa Kama 7 including Dj's, cha ajabu zaidi wasichana wote waliokuja club kila mtu alikuwa na msichana mwenzake au demu wake inshort.

Bila uoga wala aibu yoyote kila demu na demu mwenzake walikuwa wanabambiana, kunyonyana Ndimi nk. Mimi nikiwa mwanaume pekee ninayecheza ukumbini huku wengine wakiwa hawana kampani wamejikalia vitini tu.

Hivi Kama taifa tunaeleka wapi. Hii Hali sio nzuri kwakweli hasa ukizingatia hawa ndo tunaowatarajia kuwa mama zetu au wake zetu wa baadae na pia kukiwa na ongezeko la mashoga.

Nadhani huu utandawazi unatuharibia sana, kuna namna Kama watanzania tunabidi tujirudi, tujitafakari Kama huku ndo tunakotaka kuelekea. Sijui miaka 20 ijayo Taifa letu litakuwaje Kama haya niliyoyaona yataendelea Kwa kiasi kikubwa.

Nawasilisha. Uzi tayari.
Dunia inaenda Kasi sana.

Baada ya kurudi nchini, Leo nimebahatika kuja hapa Lekam Club iliyopo Maeneo ya Buguruni. Nilichojionea ni masikitiko sana Kwa maendeleo ya taifa hili na ulimwengu Kwa ujumla.

Nimejionea club nzima imekodiwa na visichana vidogo ambavyo Kwa makamo ni miaka 19 mpaka 25.

Idadi ya watu ikiwa takribani 30+ people. 98% wakiwa wanawake, Kwa mahesabu ya haraka haraka wanaume tulikuwa Kama 7 including Dj's, cha ajabu zaidi wasichana wote waliokuja club kila mtu alikuwa na msichana mwenzake au demu wake inshort.

Bila uoga wala aibu yoyote kila demu na demu mwenzake walikuwa wanabambiana, kunyonyana Ndimi nk. Mimi nikiwa mwanaume pekee ninayecheza ukumbini huku wengine wakiwa hawana kampani wamejikalia vitini tu.

Hivi Kama taifa tunaeleka wapi. Hii Hali sio nzuri kwakweli hasa ukizingatia hawa ndo tunaowatarajia kuwa mama zetu au wake zetu wa baadae na pia kukiwa na ongezeko la mashoga.

Nadhani huu utandawazi unatuharibia sana, kuna namna Kama watanzania tunabidi tujirudi, tujitafakari Kama huku ndo tunakotaka kuelekea. Sijui miaka 20 ijayo Taifa letu litakuwaje Kama haya niliyoyaona yataendelea Kwa kiasi kikubwa.

Nawasilisha. Uzi tayari.
ukiona wasagaji wanaongezeka ujue wamejikatia tamaa kulingana na kutowahi kutongozwa maisha,

me wengi washaoa wametulia na wake zao, idadi ya ke inaongezeka kila kukicha, wako pekeao mshawasho nao unawazidi wa kuwatuliza hakuna. Maji yamewafika shingoni wanajisevia wenyewe.
 
Back
Top Bottom