The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,853
Amani iwe kwenu,
Hii ni Hatari sana...
Huna triangle, huna Poles, huna kibao chochote cha Men's at work, au kibao chochote kingine kinachoonesha kuna watu wanafanya kazi barabarani.
Huna kiziba pua ili kuzuia vumbi, huna groves. Unapiga deki barabara yenye bakteria wa kila aina. Kuna watu hukojoa barabara, wengine wanatema makoozi, ma oil yanamwagika hapo na kila aina ya uchafu ambao ni hatari kwa afya.
Hivi ukipata TB, hiyo elfu ishirini uliyopewa inatosha kukuhudumia? Hao waliokupa pesa watakuja kukuhudumia hospitali?
Hivi ukigongwa na gari kosa ni la nani? Hao waliokupa kazi watakuja kukuhudumia?
Vijana wenzangu hebu tuanze kufikiri sio. Tunachofanyishwa hakuna tofauti na utumwa. Maana mtumwa ndiye afanyaye kazi hatari ili tu bosi aendelee kunawili.
Tuwe makini.
#HapaKaziTu
Hii ni Hatari sana...
Huna triangle, huna Poles, huna kibao chochote cha Men's at work, au kibao chochote kingine kinachoonesha kuna watu wanafanya kazi barabarani.
Huna kiziba pua ili kuzuia vumbi, huna groves. Unapiga deki barabara yenye bakteria wa kila aina. Kuna watu hukojoa barabara, wengine wanatema makoozi, ma oil yanamwagika hapo na kila aina ya uchafu ambao ni hatari kwa afya.
Hivi ukipata TB, hiyo elfu ishirini uliyopewa inatosha kukuhudumia? Hao waliokupa pesa watakuja kukuhudumia hospitali?
Hivi ukigongwa na gari kosa ni la nani? Hao waliokupa kazi watakuja kukuhudumia?
Vijana wenzangu hebu tuanze kufikiri sio. Tunachofanyishwa hakuna tofauti na utumwa. Maana mtumwa ndiye afanyaye kazi hatari ili tu bosi aendelee kunawili.
Tuwe makini.
#HapaKaziTu