Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
LEGE, ndugu yangu mpendwa, sio tatizo la kiufundi wala kukurupuka, ni tatizo la strss zinazosababishwa na uongozi mbovu wa Kikwete na serikali yake ya CCM. Kila siku wanaua ndugu zetu, hii haivumiliki na wala haizoeleki.matatizo ya kiufundi?? Au ndio umekurupuka
Ndibalema Yaanai wote ni ma JK.Mkuu hiyo picha ya Mwlm Nyerere na JK inahusikaje?
LEGE, ndugu yangu mpendwa, sio tatizo la kiufundi wala kukurupuka, ni tatizo la strss zinazosababishwa na uongozi mbovu wa Kikwete na serikali yake ya CCM. Kila siku wanaua ndugu zetu, hii haivumiliki na wala haizoeleki.
Ndibalema Yaanai wote ni ma JK.
Lakini huyu bwana mdogo amezidi, kwanini anashindwa kuwaambia polisi waache matumizi ya nguvu yaliyo pitiliza?
Nimeibandika picha ya Mwalimu kuonyesha ni jinsi gani hadi leo tunaomboleza kifo chake.
Huenda angekuwebo, nasaha na ushauri wake wa busara usingeifikisha nchi hapa ilipo.
Inasikitisha sana kuona polisi wako juu ya sheria