Kwa nini tunataka kutetea? Hatuoni kutetea ni kukubali unyama unaotokea?
Almuradi mtu hapati picha isiyo ya kweli, hakuna ubaya kukubali kuwa kwetu kuna watu hawana elimu, wanadanganywa na matapeli wanaojifanya waganga, kuna watu washirikina, tunajitahidi kutokomeza haya mambo lakini uongozi wenyewe nao matatizo.
Ukitetea unatetea uuaji.Penye ukweli uongo hujitenga. Angalia usije kuwa kama Kikwete alivyokuwa anawakia "Darwin's Nightmare" wakati documentary imeexpose mambo ya kweli.
Kama mtu anapata an exaggerated picture, kwamba hili jambo linatokea kila mahala, hapo inafaa kumuelewesha kuwa ingawa kuna matatizo haya kuna watu wanalivalia njuga hili.Kuna kina Mwanakijiji wamelisema sana, kuna kina Pinda, ingawa katika a "comedy of errors" sort of way overzealously and quite possibly unconstitutionally embarked on a quest to stone the albino killers, as if that is not equally gross!
Kwa hiyo mimi sina foolish patriotism ya kukataa ukweli, kwa sababu kila mtu ana kitu embarassing kuhusu nchi yake, na ni asiyekuwa na machon ya kimawazo tu ndiye atakayekataa ukweli kwamba ukweli ni ukweli.