Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
FUTURE OF ENGLAND IS IN SAFE HANDS!
Naam km wanavyosema waswahili,km unataka kesho yako iwe nzuri basi anza kuitengeneza Leo na nyumba huwa huanzi kuezeka mabati Bali utaanzia na msingi hii ndio imebeba dhamana ya post yangu hii kuhusu wajukuu Wa malkia ukipenda Waite "The three lions"...
Tunaanzia hapaa hivi.. Ujerumani baada yakufeli sana kwenye WC 2006 iliofanyika nyumbani kwao pmj na Euro2008 huku kikosi kikiwa ni kilekile basi waliamua kuanza upya kusuka timu ambayo waliplan ije kutisha kwa miaka ijayo wala hawakuangalia kwa wakati ule naongelea mwaka2009 hap vilisukwa vikosi vingi vya vijana ila ntagusia cha German U21 iliundwa na baadhi ya watu km Manuel Neuer,Muller,Hummels,Boateng,Ozil,khedira,Howedes,Marin, Marcel shmelzer nk na huku German U17 ikuundwa na watu km Marc Ter Stegen,Beno Leno,Mustaphi,Mario Gotze,Can Emre, nk baada ya miaka(6) ujerumani ilienda kubeba WC pale Brazil yote n matunda ya project hii na ikumbukwe jinsi ilivyokua tishio mpk kupewa jina LA German machine kwa visago vilivyokua vinatembea basi turudi hapa kwa England...
Kwa wenye kumbukumbu nzuri watakumbuka jinsi England ilivyofeli pale south Africa bila kusahau Brazil kule pia ikumbukwe kile kikosi chao cha U21 kilivyofanywa kitu kibaya mwaka2013 kwenye Euro U21 kwa kumaliza kundi na point0 kikosi kile kilichokua na baadhi ya watu kina Dany Rose,Zaha,Tom Ince,Josh McEachrain,Redmond,Clyne,Jordan Henderson walitia aibu kubwa na inasemekana viongozi Wa FA walienda kupata baadhi ya mafunzo kwa wenzao Wa DFB(chama cha soka German) England nao waliamua kuwekeza upya kwenye soka la vijana na matunda yake yameanza kuonekana hivi sasa...
Unakumbuka kile kikosi cha England U17 kilichobeba kombe la dunia la vijana mwaka2017? Basi km huwakumbuki ndio hawa hapa waliounda kikosi kile "Steven sessegnon,Mark Guehi,George McEachran(mdogo Wa Josh), Phil Phoden( mchezaji bora),Emil Smith Rowe,Cullum Hudson Odoi,Jadon Sancho,Angel Gomes,Rhian Brewster(Top score), Morgan Gibbs-white nk
Je unakijua kikosi chao kilichoshiriki Euro U21 mwaka2019?? Unajua kitachofuata n nn na plan yao hawa? Unajua kwann walimuamini kocha wao alianzia na vijana km german walivyomuani joachim low?? Basi Itaendelea..nikipata Mda maana mda wangu ni mchache cm yakugongea ila tupo pamoja waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam km wanavyosema waswahili,km unataka kesho yako iwe nzuri basi anza kuitengeneza Leo na nyumba huwa huanzi kuezeka mabati Bali utaanzia na msingi hii ndio imebeba dhamana ya post yangu hii kuhusu wajukuu Wa malkia ukipenda Waite "The three lions"...
Tunaanzia hapaa hivi.. Ujerumani baada yakufeli sana kwenye WC 2006 iliofanyika nyumbani kwao pmj na Euro2008 huku kikosi kikiwa ni kilekile basi waliamua kuanza upya kusuka timu ambayo waliplan ije kutisha kwa miaka ijayo wala hawakuangalia kwa wakati ule naongelea mwaka2009 hap vilisukwa vikosi vingi vya vijana ila ntagusia cha German U21 iliundwa na baadhi ya watu km Manuel Neuer,Muller,Hummels,Boateng,Ozil,khedira,Howedes,Marin, Marcel shmelzer nk na huku German U17 ikuundwa na watu km Marc Ter Stegen,Beno Leno,Mustaphi,Mario Gotze,Can Emre, nk baada ya miaka(6) ujerumani ilienda kubeba WC pale Brazil yote n matunda ya project hii na ikumbukwe jinsi ilivyokua tishio mpk kupewa jina LA German machine kwa visago vilivyokua vinatembea basi turudi hapa kwa England...
Kwa wenye kumbukumbu nzuri watakumbuka jinsi England ilivyofeli pale south Africa bila kusahau Brazil kule pia ikumbukwe kile kikosi chao cha U21 kilivyofanywa kitu kibaya mwaka2013 kwenye Euro U21 kwa kumaliza kundi na point0 kikosi kile kilichokua na baadhi ya watu kina Dany Rose,Zaha,Tom Ince,Josh McEachrain,Redmond,Clyne,Jordan Henderson walitia aibu kubwa na inasemekana viongozi Wa FA walienda kupata baadhi ya mafunzo kwa wenzao Wa DFB(chama cha soka German) England nao waliamua kuwekeza upya kwenye soka la vijana na matunda yake yameanza kuonekana hivi sasa...
Unakumbuka kile kikosi cha England U17 kilichobeba kombe la dunia la vijana mwaka2017? Basi km huwakumbuki ndio hawa hapa waliounda kikosi kile "Steven sessegnon,Mark Guehi,George McEachran(mdogo Wa Josh), Phil Phoden( mchezaji bora),Emil Smith Rowe,Cullum Hudson Odoi,Jadon Sancho,Angel Gomes,Rhian Brewster(Top score), Morgan Gibbs-white nk
Je unakijua kikosi chao kilichoshiriki Euro U21 mwaka2019?? Unajua kitachofuata n nn na plan yao hawa? Unajua kwann walimuamini kocha wao alianzia na vijana km german walivyomuani joachim low?? Basi Itaendelea..nikipata Mda maana mda wangu ni mchache cm yakugongea ila tupo pamoja waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app